MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #41
Ditram Nchimbi wa Yanga SC ( Tanzania ) akijifananisha na mpaka akimuiga kila Kitu ( hasa Kiuchezaji ) Mshambuliaji Robert Lewandoski wa Bayern Munich ( Germany ) ni tatizo Kwako au kuna tatizo? Acha Kukariri na kuwa na Kiherehere!!Nimejikuta nacheka tu, mshusha thread mwandiko wako, jazba na kurudia rudia kutaja jina lako vinashabihia na IDs nyingine mbili tatu hivi.
Umechangamsha genge somehow, hayo ya Bashite tuwe na subra muda utatupa majibu kwani yanayoendelea behind the curtain kwa tulio nje ya system hatuyafahamu.
Nadhani SASHA anakwenda sawia, one step at time huku akizingatia taratibu za kisheria si kama phase ya mwendazake ya kidnappings, detentions na eliminations.
Nikisikia wako Segerea Jela nitafurahia.Sabaya alikuwa anawaambia wafanyabiashara anachokifanya wakiamua wakiite "makonda style" hawa vijana walikuwa wamejipanga, mda wao umefika
Muda utaongea...Nikisikia wako Segerea Jela nitafurahia.
Huko nyuma alikuwa ni nani Serikalini?Paulo Makonda si RC wala DC....
mmmhKwangu Mimi kutokana na Tuhuma zao ( hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao ) namfananisha Ole Sabaya na Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.
Utoaje AMRI ya Kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuogopa au ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa.
Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
makonda kafanyaje, hebu to madhambi yake hata ma 2 tu ya kushtakiwaKwangu Mimi kutokana na Tuhuma zao ( hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao ) namfananisha Ole Sabaya na Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.
Utoaje AMRI ya Kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuogopa au ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa.
Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
toa mfano aliyenyanyaswa na kuporwaKanyanyasa, Katesa na Kapora sana tu.
achululie hatua mafisadi na wauza unga sio huu upuuziHoja hapa ilikuwa Rais awachukulie hatua wengine kama alivyomchukulia Sabaya ya kuwasimamisha kazi wote kwa pamoja na ndipo likatajwa jina la Makonda!! Hapo ndipo tukabainisha kuwa Makonda hayupo tena serikalini hivyo sio rahisi kumchukulia hatua ya kumsimamisha!!
Suala la kuhojiwa kwa matendo yake alipokuwa RC na kama alivunja sheria hilo liko chini ya taasisi husika na sioa kazi ya rais kuwaambia nini cha kufanya kwani sheria ndio inayochukua mkondo wake!
Kakae na mavi yako nyumbani-Shujaa.Sikutegemea kama unayejiita Great Thinker ungeuliza Swali la Kipumbavu sana hili.
Yaani hujui kuwa kutokana na Tuhuma zako unaweza Kuchunguzwa ukiwa under House arrest au ukiwa ndani Polisi?
Wakati Akili zinagawiwa kwa Watu ( akina Krav Maga ) na Mwenyezi Mungu Mwenzetu ulikuwa wapi labda? Nimekudharau kuliko...!
Upendo wao ulimalizika rasmi mwaka 2018 pale ilipogundulika Kijana anamfitinisha Mama kwa Babaake ( sasa Hayati ) ili aonekane mbaya na Mama ang'olewe Umakamu awekwe Mtu wake ( wao )Mother Theresa hawezi kumchunguza makonda kwa tuhuma zake, maan ni kipenzi chake tangu akiwa bunge la katiba.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kheeeeeh kumbe? Mbna sikua najua hili mie,Upendo wao ulimalizika rasmi mwaka 2018 pale ilipogundulika Kijana anamfitinisha Mama kwa Babaake ( sasa Hayati ) ili aonekane mbaya na Mama ang'olewe Umakamu awekwe Mtu wake ( wao )
Alichomfanyia Yusuf Manji pale Nyumbani Kwake Sea View na Kuchukua Kimabavu kilichokuwa ndani ya Safe na Kuondoka nacho mazima ni sehemu tosha ya moja ya Tuhuma zake bila kusahau na waliokuwa Wakiogelea Baharini ( Coco Beach na Kawe Beach ) kwa msaada wa Mawe mazito na Kamba ngumu bila ya Kupumua kama Navy.makonda kafanyaje, hebu to madhambi yake hata ma 2 tu ya kushtakiwa
Hivi Mfadhili wa zamani wa Yanga SC Yusuf Manji yupo wapi ili aisaidie Klabu yake hiyo pendwa kama zamani?toa mfano aliyenyanyaswa na kuporwa
Ikibidi unakamatwa.Kwani kuchunguzwa maana yake ni kukamatwa?
Chukua kutoka Kwangu na amini 100%.
Basi sawaaahChukua kutoka Kwangu na amini 100%.
Huyo Dimwit alikuwa halijui hilo Ndugu.Ikibidi unakamatwa.
Vinginevyo unaweza kuhojiwa ukitokea nyumbani kwako.
Inategemea aina ya jinai uliyofanya
Sijui unazungumzia sheria za wapi, huwezi kuchunguzwa under house arrest not in our jurisdiction kwa sheria za Tz haipo hiyo, uchunguzi waweza fanyika under police custody....Sikutegemea kama unayejiita Great Thinker ungeuliza Swali la Kipumbavu sana hili.
Yaani hujui kuwa kutokana na Tuhuma zako unaweza Kuchunguzwa ukiwa under House arrest au ukiwa ndani Polisi?
Wakati Akili zinagawiwa kwa Watu ( akina Krav Maga ) na Mwenyezi Mungu Mwenzetu ulikuwa wapi labda? Nimekudharau kuliko...!