watu wanajua kuongoza nchi kama kuongoza familia ya mke na watoto watatu, hivi kweli rais atawajua watumishi wote?
kwanza ni nani asiekosea? Majina mengi ya viongozi, rais anashirikisha team yake, team yake nayo inaomba taarifa kutoka kwenye mapandikizi ya maofficn (usalama wa taifa wa maofficn) sasa mapandikizi wakipata mtu mbaya ambae amejificha kwenye kichaka na kuonekana bora, nao watarudi kwa team ya mama na jina, hivyo mama atapewa jina......
Mama ni smart enough kukubali kukosea, sio mtu ameona ndege hazifai zinaleta hasara, alafu anaendelea kununua nyingine.
mbona kuna alieshindwa kuapa, mbona kuna madudu mengi ya kina makonda hebu