Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

View attachment 1743826

Zaidi soma:

Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio
Rais Samia ni msikivu ila kuna watu wanamwingiza chaka
 
Rais ana nafasi ZAIDI ya 200 za kuteua kwa kada mbalimbali kwa mtazamo wako unaweza ukawajua hawa watu wote inside out?? sio kukurupuka na kusema kirahisi tu eti "anakurupuka kwenye teuzi"
wanahisi urais ni kama kuongoza familia mkuu.....hawajui team ya rais ndio inaomba taarifa kutoka kwenye mapandikizi ya usalama waliopo maofficin, then hao wanawapa jina team ya mama mwisho mama anapewa jina, sasa hao wakikosea mama ataonekana amekosea.
 
watu wanajua kuongoza nchi kama kuongoza familia ya mke na watoto watatu, hivi kweli rais atawajua watumishi wote?

kwanza ni nani asiekosea? Majina mengi ya viongozi, rais anashirikisha team yake, team yake nayo inaomba taarifa kutoka kwenye mapandikizi ya maofficn (usalama wa taifa wa maofficn) sasa mapandikizi wakipata mtu mbaya ambae amejificha kwenye kichaka na kuonekana bora, nao watarudi kwa team ya mama na jina, hivyo mama atapewa jina......

Mama ni smart enough kukubali kukosea, sio mtu ameona ndege hazifai zinaleta hasara, alafu anaendelea kununua nyingine.



mbona kuna alieshindwa kuapa, mbona kuna madudu mengi ya kina makonda hebu
Uko sahihi nashangaa watu kushupalia ujinga, mama noticed mistakes na aka change haraka yet watu wanakomaa nalo, na hamna binadamu asiyeingia chaka
 
Daah jamaa hana bahati
Jamaa alishaanza kuagiza suti ya uapisho

Usiku wa kuamkia Leo kapokea Sana simu za pongezi

Ashapanga aliingiia ofisi mademu zake wote waliomtosa watamkoma.


Mara paaap kachomolewa hii tunaitta mwexit[emoji1787][emoji1787]
 
watu wanajua kuongoza nchi kama kuongoza familia ya mke na watoto watatu, hivi kweli rais atawajua watumishi wote?

kwanza ni nani asiekosea? Majina mengi ya viongozi, rais anashirikisha team yake, team yake nayo inaomba taarifa kutoka kwenye mapandikizi ya maofficn (usalama wa taifa wa maofficn) sasa mapandikizi wakipata mtu mbaya ambae amejificha kwenye kichaka na kuonekana bora, nao watarudi kwa team ya mama na jina, hivyo mama atapewa jina......

Mama ni smart enough kukubali kukosea, sio mtu ameona ndege hazifai zinaleta hasara, alafu anaendelea kununua nyingine.



mbona kuna alieshindwa kuapa, mbona kuna madudu mengi ya kina makonda hebu
Taasisi nyeti hazizidi 30 hapa tz, hizi ana uwezo wa kujifungia ndani na wataalam wake wa karibu akapitia yeye moja baada ya nyingine na kuuliza maswali na atakachobtoka kujua kwa wasaidizi wake kuhusu faili aliloshika na kisha kufanya maamuzi..
 
huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu??????huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
huna lolote we Dada Yake dk Bashiru ally, chuki tu
 
Ilishawahi kutokea hayati aliteua naibu waziri aliye shindwa kuapa na wiki iliyo fuata akateua mpyaaaa

Yaan disco ni lilelile ila dj tu ndio mpyaa
Mwenda ndivyo alivyokuwa akipenda watu wamnyenyekee ikibidi hata wajinyee wakati wa kuapa

Huyo Waziri alieshindwa kuapa huenda alilowanisha hadi nguo za ndani

Raisi anatakiwa apendwe na kuheshimiwa
 
View attachment 1743826

Zaidi soma:

Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio
James mataragio ni mtu wa karibu sana na JK. Hivyo kumrudisha tena mataragio ni yale tuliyoyasema swali kuwa JK= SSH
 
Wa awali namuunga mkono hapo ila mama anaonyesha udhaifu sasa. Atulie, alipelekewa teuzi asikimbilie kisaini ajipe muda kidogo kuzipitia hata wiki..
Matarajio alionewa kwa mijibu WA mahakama
 
Back
Top Bottom