Walivyo jeuri wanasema Yanga ndo wajifunze kwao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ii nchi hii et wangekuwa wao wasingekosa kombe .Yan mtu aliyeishia robo anakufundisha kazi ww wa Finalsimba wanalakujifunza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walivyo jeuri wanasema Yanga ndo wajifunze kwao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ii nchi hii et wangekuwa wao wasingekosa kombe .Yan mtu aliyeishia robo anakufundisha kazi ww wa Finalsimba wanalakujifunza.
Mkuu Interlacustrine R mie natokea nje ya nchi, naomba msaada ili kujua maana ya Kolowizard 🙂Kolowizards jingine hili hapa limeandika "Kivuvu", pia lile linalojiita USM ALGER, Rivers United na Marumo Gallants badala ya Corasco Putin limeandika "Shilikisho"
Umbumbumbu ni kipaji [emoji119][emoji2]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hakuna la kujifunza, mkuu. Boli la Tanzania, ukweli ni kwamba kiwango kiko chini sana - siyo Kolowizard wala Topofailure. Wote hali ni mbaya sana.simba wanalakujifunza.