Rais Samia Awaandalia Yanga Hafla ya Kuwapongeza

Rais Samia Awaandalia Yanga Hafla ya Kuwapongeza

Mie kitendo cha kombe kubaki Uarabuni, bas roho kwatuuu, haya mengine walaa hayanistuii, tena akitaka awakaribishe ikulu zote, pia awapeleke Bungeni.
Hata hatustukiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi Simba ilishawahi kualikwa ikulu au bungeni mi hua naona ni Yanga Tu?

Kwanini wanapendelewa hivo
 
Hiyo inamaanisha nini? Kuna timu inabidi zishuke daraja na hazijajulikana bado. Huu ni uswahili tunaoupigia kelele kila siku. Huko CAF mnalalamika waarabu kupendelewa ila hayo mambo yanafanyika hata hapa.
Ulitaka simba waende ikulu kwa jambo labda?
 
Sisi simba hajawahi kutupa japo Toyota DCM litupeleke beach, sawa bwana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni Jambo jema kuwapongeza young Africans
Wamefika final
Wametupa heshima TZ
Kolo hawatafika ikulu
Hawajavaa medali hata ya mapinduzi
Kolo washapata ubingwa wa robo
Wao kazi yao majungu tu na kuisema Young African vibaya[emoji23]
 
Rais kilaza huwa na hulka ya kudandia mambo kutaka cheap political mileage.
Kama yale ya kujenga ukuta wa Merelani ukiamini unazuia utoroshaji wa Madini huku umesahau kuna madini yanachimbwa Underground?
 
Mama Kama Mama..dundukaz endeleeni kuteseka🤣🤣
 
Bi mkola anatapanya pesa za wajinga kizembe sana, nafikili anafanya haya kumfurahisha sponsor wake wa msoga ambae ni utopolo lialia na ni njia ya kufanya lobbying kwa gsm ili aendelee kukwepa kodi vizuri.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Diarra tu, wewe kocha wa makipa tutakutafutia kutoka Mali [emoji12]
Hapana mkuu.........hata jeshini mwajeshi akifanya vizuri.....anaye pewa sifa ni kiongozii wake[emoji23]
 
Akili za kimbayuwayu hizi, eti kwakuwa una hali mbaya ya kiuchumi hupaswi kurahia maisha kwa kidogo ulicho nacho, mtakuja kwa pressure maisha yenyewe haya haya, wafidhina wakubwa nyie
 
Maisha hayapo hivyo acheni roho za kimaskini na chuki mtakufa kwa ufukara wa fikra na ujinga
Hivi hafla kama hizo zinaandaliwa kwa pesa binafsi au ya umma! Maana ni upotevu wa pesa bure wakati nchi yetu ina watu wanashida nyingi wengine wanashindwa hata kujilipia matibabu ya laki moja tu wanapoteza maisha lakini anatokea mtu mmoja kwa mapenzi yake binafsi anaamua kutapanya pesa ovyo ili kufurahisha vyura.
 
HUYU mama mbona kama amepotea njia.

HUKO Dodoma km 1 kutoka IKULU eneo lote Lile la mtumba,ihumwa, WATU hawana maji .

Wilaya zote za Dodoma ni shida Bahi, kondoa,kongwa UMASIKINI umetopea.

Miaka sitini ya uhuru WATU hawana maji.

ANAHANGAIKA NA MAMBO YASIYOKUA YA MSINGI.
Wivu ndiyo uchawi namba 1 Tz!.
 
Back
Top Bottom