msondomba
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,895
- 2,410
Ww ndo fala hujui kuwa Nchi zaidi ya 50 duniani na watu zaidi ya milioni 100 waliokua wanafuatilia ule mpira wameijua Tanzania kupitia Yanga, huna huelewa na Marketing, vyombo vyote vya habari vikubwa wameitaja Yanga chok@@ wwHUYU mama mbona kama amepotea njia.
HUKO Dodoma km 1 kutoka IKULU eneo lote Lile la mtumba,ihumwa, WATU hawana maji .
Wilaya zote za Dodoma ni shida Bahi, kondoa,kongwa UMASIKINI umetopea.
Miaka sitini ya uhuru WATU hawana maji.
ANAHANGAIKA NA MAMBO YASIYOKUA YA MSINGI.