Rais Samia Awaandalia Yanga Hafla ya Kuwapongeza

Rais Samia Awaandalia Yanga Hafla ya Kuwapongeza

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.

@SuluhuSamia

ameandaa hafla ya kuwapongeza Wananchi, Young Africans SC kwa hatua waliyofikia kwenye michuano ya kombe la shirikisho Afrika ambapo klabu hiyo ilifika fainali na kufanikiwa kutunukiwa medali kama mshindi wa pili.



Hafla hiyo ya kuipongeza klabu ya Yanga itafanyika Juni 5, 2023 Ikulu, Dar es Salaam.
View attachment 2645787
Duuuu....! Simba si watakufa kwa presha mwaka huu!?
 
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.

@SuluhuSamia

ameandaa hafla ya kuwapongeza Wananchi, Young Africans SC kwa hatua waliyofikia kwenye michuano ya kombe la shirikisho Afrika ambapo klabu hiyo ilifika fainali na kufanikiwa kutunukiwa medali kama mshindi wa pili.



Hafla hiyo ya kuipongeza klabu ya Yanga itafanyika Juni 5, 2023 Ikulu, Dar es Salaam.
View attachment 2645787
Basi misukule ya Mudi Mhindi itanuna kweli na kutukana hovyo! Kisa wivu tu. Maana kila mwaka timu yao inaishia robo fainali. Hata ibebwe vipi, haibebeki.
 
HUYU mama mbona kama amepotea njia.

HUKO Dodoma km 1 kutoka IKULU eneo lote Lile la mtumba,ihumwa, WATU hawana maji .

Wilaya zote za Dodoma ni shida Bahi, kondoa,kongwa UMASIKINI umetopea.

Miaka sitini ya uhuru WATU hawana maji.

ANAHANGAIKA NA MAMBO YASIYOKUA YA MSINGI.
Tulia wewe! Mbona bosi wako Mwamedi msimu uliopita alitumia bilioni 1.5 kusajili akina Victor Akpan, Nelson Okwah, Mlete Mzungu, Nassori Kapama, Mohamed Outtara, na wengineo wengi; na hukulalamika.

Waache wananchi wakapongezwe. Maana wanastahili.
 
HUYU mama mbona kama amepotea njia.

HUKO Dodoma km 1 kutoka IKULU eneo lote Lile la mtumba,ihumwa, WATU hawana maji .

Wilaya zote za Dodoma ni shida Bahi, kondoa,kongwa UMASIKINI umetopea.

Miaka sitini ya uhuru WATU hawana maji.

ANAHANGAIKA NA MAMBO YASIYOKUA YA MSINGI.
Hujui JK ni mshabiki wa Yanga?
 
Siasa ni Sayansi ingawa haina Differentiation wala Intergration

Kila la kheri Mwananchi 👏
 
Ahsante sana mama, wewe ndio mfariji namba moja nchi hii.

MAKOLO wasage meno,
 
Hivi hafla kama hizo zinaandaliwa kwa pesa binafsi au ya umma! Maana ni upotevu wa pesa bure wakati nchi yetu ina watu wanashida nyingi wengine wanashindwa hata kujilipia matibabu ya laki moja tu wanapoteza maisha lakini anatokea mtu mmoja kwa mapenzi yake binafsi anaamua kutapanya pesa ovyo ili kufurahisha vyura.
Hili swali lako wala halihitaji PhD. Unategemea watumie pesa binafsi wakati unaambiwa kuna fungu la ikulu ambalo halipo audited?
 
Back
Top Bottom