Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuu....! Simba si watakufa kwa presha mwaka huu!?RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.
@SuluhuSamia
ameandaa hafla ya kuwapongeza Wananchi, Young Africans SC kwa hatua waliyofikia kwenye michuano ya kombe la shirikisho Afrika ambapo klabu hiyo ilifika fainali na kufanikiwa kutunukiwa medali kama mshindi wa pili.
Hafla hiyo ya kuipongeza klabu ya Yanga itafanyika Juni 5, 2023 Ikulu, Dar es Salaam.
View attachment 2645787
Tunazumgumzia hiyo hafla ya kuwapongeza walioshindwa.Wakati timu yako inashinda mechi zake na kupewa pesa za mama mbona haukuhoji
Basi misukule ya Mudi Mhindi itanuna kweli na kutukana hovyo! Kisa wivu tu. Maana kila mwaka timu yao inaishia robo fainali. Hata ibebwe vipi, haibebeki.RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.
@SuluhuSamia
ameandaa hafla ya kuwapongeza Wananchi, Young Africans SC kwa hatua waliyofikia kwenye michuano ya kombe la shirikisho Afrika ambapo klabu hiyo ilifika fainali na kufanikiwa kutunukiwa medali kama mshindi wa pili.
Hafla hiyo ya kuipongeza klabu ya Yanga itafanyika Juni 5, 2023 Ikulu, Dar es Salaam.
View attachment 2645787
Siku hizi mashabiki wao wengi wamekuwa kama mashangingi ya mjini. Kila timu inayocheza na Yanga, basi lazima wajipendekeze kwao.Duuuu....! Simba si watakufa kwa presha mwaka huu!?
Tulia wewe! Mbona bosi wako Mwamedi msimu uliopita alitumia bilioni 1.5 kusajili akina Victor Akpan, Nelson Okwah, Mlete Mzungu, Nassori Kapama, Mohamed Outtara, na wengineo wengi; na hukulalamika.HUYU mama mbona kama amepotea njia.
HUKO Dodoma km 1 kutoka IKULU eneo lote Lile la mtumba,ihumwa, WATU hawana maji .
Wilaya zote za Dodoma ni shida Bahi, kondoa,kongwa UMASIKINI umetopea.
Miaka sitini ya uhuru WATU hawana maji.
ANAHANGAIKA NA MAMBO YASIYOKUA YA MSINGI.
Mbumbumbu wengi ni vijana wadogo wa vijiweni, waliokimbia umande. Hivyo unatakiwa uwasamehe tu.Kweli Kolorobo ni mbumbumbu fc, sasa Shilikisho ndio nini? hata kiswahili tu ni changamoto.
Hujui JK ni mshabiki wa Yanga?HUYU mama mbona kama amepotea njia.
HUKO Dodoma km 1 kutoka IKULU eneo lote Lile la mtumba,ihumwa, WATU hawana maji .
Wilaya zote za Dodoma ni shida Bahi, kondoa,kongwa UMASIKINI umetopea.
Miaka sitini ya uhuru WATU hawana maji.
ANAHANGAIKA NA MAMBO YASIYOKUA YA MSINGI.
Mvivu hufikiri kivuvu,Sijakuelewa, kwamba uhusiano wa kukosekana kwa maji na kuwapongeza Yanga ukoje? Asiwapongeze kisa Bahi hawana maji?
Timu kubwa hii,Hawa Yanga si wanatakiwa waende huko Sumbawanga? Au serikali (na siyo TFF) imeamua ligi iendelee kusimama?
Yap,mama anajifariji maskin🤣ni sawa na tajiri anakuwa na toto mbumbumbu darasan,analipa kila kitu Ila daily linakuwa la mwisho,so njia inayobak kujifariji na Hilo, toto zuzu ni kutumia fedha🤔🏊Inaonesha kaumia sana
Akijibu nitag mkuuWakati timu yako inashinda mechi zake na kupewa pesa za mama mbona haukuhoji
Hili swali lako wala halihitaji PhD. Unategemea watumie pesa binafsi wakati unaambiwa kuna fungu la ikulu ambalo halipo audited?Hivi hafla kama hizo zinaandaliwa kwa pesa binafsi au ya umma! Maana ni upotevu wa pesa bure wakati nchi yetu ina watu wanashida nyingi wengine wanashindwa hata kujilipia matibabu ya laki moja tu wanapoteza maisha lakini anatokea mtu mmoja kwa mapenzi yake binafsi anaamua kutapanya pesa ovyo ili kufurahisha vyura.
Basi sawa.Hili swali lako wala halihitaji PhD. Unategemea watumie pesa binafsi wakati unaambiwa kuna fungu la ikulu ambalo halipo audited?