Rais Samia Awaandalia Yanga Hafla ya Kuwapongeza

simba wanalakujifunza.
Walivyo jeuri wanasema Yanga ndo wajifunze kwao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ii nchi hii et wangekuwa wao wasingekosa kombe .Yan mtu aliyeishia robo anakufundisha kazi ww wa Final
 
Mkuu Interlacustrine R mie natokea nje ya nchi, naomba msaada ili kujua maana ya Kolowizard 🙂

NB: Kwin Camilla keshawaambieni timu kubwa iache bifu na vitoto.
 
simba wanalakujifunza.
Hakuna la kujifunza, mkuu. Boli la Tanzania, ukweli ni kwamba kiwango kiko chini sana - siyo Kolowizard wala Topofailure. Wote hali ni mbaya sana.

Hii inatokana na kubebwa sana wanapokuwa wakicheza mechi za ndani na vitimu vidogo zaidi. Too sad kwamba wanafikia hatua ya kununua ushindi ama wachezaji kwa rushwa (inadadikika).

Nadhani Tanzania tuna vipaji vya kutengenezeana zengwe na kuhujumiana zaidi.
 
Ule usemi wa ukiitiwa fursa kumbe wewe ndio unageuzwa fursa umetimia. Vyabure Vinaponza. There is no free lunch in Europe, this holds true in Africa too. Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…