Rais Samia awasili Oman kwa ziara ya siku 3

Rais Samia awasili Oman kwa ziara ya siku 3

Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Mwenyeji wake Kiongozi Mkuu wa Taifa la Omani Sultan Haitham bin Tariq Al Said wakati Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukipigwa katika mapokezi Rasmi yaliyofanyika kwenye viwanja vya Kasri ya Al Alam Muscat nchini Oman @venusnyota https://t.co/6AJOAJqgGV
20220612_183211.jpg
 
Hela zimeliwa, wenyewe wanataka chao walicholipia, wamasai wamegoma kutoka.

Tukumbuke tu Porta potty ilianzia kwa waarabu sasa wasije wakadai fidia kivingine tu.

Siku 3 zitakuwa ni za kukukuna na kupuliza tu bila kuparua..
 
Hii ziara yake imekuja wakati mbaya sana, naamini akirudi toka huko majibu ya maswali ya Ngorongoro yataanza kupatikana, kama ni ndio au hapana.
 
kwa ujumala mimi niseme kwamba nasikitika kwa kiasi kikubwa kuona raisi anafanya ziara za kikazi huku nchi yake ikiwa katika hali ya taharuki mkoani Arusha katika mgogoro wa aridhi dhid ya ndugu zetu wamasai ! Ni kweli anawasaidizi wanaomuwakilisha lakini je hadi sasa wasaidizi hao wamefanya nini zaidi ya matatizo yanayoendelea? Leo polisi amepigwa mshale na kufariki tuseme hayo yote hayaoni . Nachosikitika hata wapinzani wenyewe wamekaa kimya wanaongelea jambo hilo kishingo upande.
 
Umesahau kuwa ni mwanafunzi chini ya bwana yule ya mgaso..moja ya somo ni kuwa ikitokea taharuki nchini panda ndege kavinjari ukirudi yatakuwa yameisha ni upepo tu utapita na wamasai watapunguza mori.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hakuna ubaya wa ziara,ila kama kawaida Bongo kuna watu wanaweza kutumia nafasi hiyo kutaka nchi isitawaliwe.
Busara na hekima itawale vinywa na vichwa vyetu.
Siasa za maji taka hazimsaidii yeyote ni maangamizi.
Mama tighten belt kidogo,usiwachekee bunch of fools and idiots,wanatengeneza visaga kwa kumkomoa nani?
 
Umesahau kuwa ni mwanafunzi chini ya bwana yule ya mgaso..moja ya somo ni kuwa ikitokea taharuki nchini panda ndege kavinjari ukirudi yatakuwa yameisha ni upepo tu utapita na wamasai watapunguza mori.

#MaendeleoHayanaChama
umeongea ukweli hii safari iko ndan ya plan.
 
Muhuni amemuita kuuliza hati zetu vipi? Mbona mda unaenda hamtukabidhi hati zetu za eneo na mpunga tulishawaingizia.

Bila shaka maza kapeleka hati za eneo katika safari hii😀 sasa mtamkumbuka yule muliemuita dhalimu aliokuwa akiwazingua mafisadi na wezi ambao ni wachache na ku favour mamilion ya masikini.
 
Back
Top Bottom