mbari sa menya
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,002
- 1,891
We MSAGA SUMU taratibu mkuukafikia kwenye nyumba ya Barghash
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We MSAGA SUMU taratibu mkuukafikia kwenye nyumba ya Barghash
Idd Amini alkimbilia Saudi ArabiaIdi Amini alikimbilia huko huko nafikiri, …
mama mzanzibarkwa ujumala mimi niseme kwamba nasikitika kwa kiasi kikubwa kuona raisi anafanya ziara za kikazi huku nchi yake ikiwa katika hali ya taharuki mkoani Arusha katika mgogoro wa aridhi dhid ya ndugu zetu wamasai ! Ni kweli anawasaidizi wanaomuwakilisha lakini je hadi sasa wasaidizi hao wamefanya nini zaidi ya matatizo yanayoendelea? Leo polisi amepigwa mshale na kufariki tuseme hayo yote hayaoni . Nachosikitika hata wapinzani wenyewe wamekaa kimya wanaongelea jambo hilo kishingo upande.
Sheria ya uzushi haijafutwa kuwa makinikwa ujumala mimi niseme kwamba nasikitika kwa kiasi kikubwa kuona raisi anafanya ziara za kikazi huku nchi yake ikiwa katika hali ya taharuki mkoani Arusha katika mgogoro wa aridhi dhid ya ndugu zetu wamasai ! Ni kweli anawasaidizi wanaomuwakilisha lakini je hadi sasa wasaidizi hao wamefanya nini zaidi ya matatizo yanayoendelea? Leo polisi amepigwa mshale na kufariki tuseme hayo yote hayaoni . Nachosikitika hata wapinzani wenyewe wamekaa kimya wanaongelea jambo hilo kishingo upande.
Kwa hiyo police mmja kuuawa ndio nini?Police aliyeuwawa nayo ni uzushi
Video ya Mapokezi ya Rais . Samia huko Oman . Itakuwa ni ziara ya siku tatu
View attachment 2258451View attachment 2258452
Kila la heri..Samia hanaga ziara za hasara toka ameanza kufanya ziara za Kimataifa.
Haupo sawa wewe..Huyo TIJA akiletwa huwa anafichwa wapi? Maana huku mitaani haonekani.
Alizurura Kikwete hivi hivi kwa kisingizio hicho hicho cha tija...mpaka anaondoka hakuna la maana.
Wananchi wafungue macho sasa, CCM ni janga!
Kwani ni hasara? Mkopo ni hasara? Una akili timamu?Mikopo kwako ni faida eeh?!
Kwani ni hasara? Mkopo ni hasara? Una akili timamu?
Ulitaka iwe Kodi ya nani? 👇Kweli tumepigwa na kitu kizito….utakuta mshahara wako ni kodi zetu eti…
Ulitaka iwe Kodi ya nani? 👇