Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu gani sasa?Aibu kwako
Idi Amin alikimbilia Saudi Arabia! Na alifia huko huko mwanzoni tu mwa miaka ya 2000.Idi Amini alikimbilia huko huko nafikiri, …
Dah!.. umeona hivyo ndio vipaumbele vyetu ?..nchi yetu ni maskini aombe viwanja vitatu vya mpira na masjid moja!
BWhen Sultan Seyyid Said moved his Capital from Muscat, Oman to Zanzibar?
A) 1830
B)1840
C) 1850
D)1873
The answer is..........
Rasmi kuuza ardhi zetu kwa waarabu !
akiondoka madarakani ndio mtajua aliingiziwa shilingi ngapi kuwauza
Yanatokea matatizo badala ya kukatisha ziara ndio kwanza anakwenda kuonana na wanaotuhumiwa.
Kweli tumepata Rais.
Ya Tip Tip
Idi Amini alikimbilia huko huko nafikiri, …
Na atakaporudi ataandaliwa mapokezi makubwa utafikiri Mgeni, Yenye sifa kibao ambazo 70% ni uongo.Naona ameenda kuwasilisha hati ya Umasaini kwa mmiliki mpya 😀😀😀!!!
Wazee wa "Asee Lafikiii" shughuli wanayo!
Na alifia huko huko tuliyemwita nduli 😂
kipaumbele kinategemea unaenda nchi gani , unaongea na nani? wanapenda nini? kitu gani ni rahisi kusaidiwa.Dah!.. umeona hivyo ndio vipaumbele vyetu ?..
Naunga mkono hoja ,jamaa anawadhalilisha Platinum member wenzake kwa ugoro anao post humuNa wewe umepewa uplatinum member duh!!! Kwa haya unayoa andika Ni heri ukarudishwa u-Expert member,
Sioni utetezi kwa mzee wa bakora Job, alisema hili mapema mwisho wa siku akalambwa kichwa na leo imebaki historia tu.akiondoka madarakani ndio mtajua aliingiziwa shilingi ngapi kuwauza
Wakati dini yake haimruhusu kuwa kiongozi mkuu…tutapigwa na laana mpaka akili zitukae sawa…