Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Naunga mkono hoja ,jamaa anawadhalilisha Platinum member wenzake kwa ugoro anao post humu
Waarabu/waislamu wanawachukia, uislamu wanaupiga vita. Hawa watu sheikh ni hatari sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja ,jamaa anawadhalilisha Platinum member wenzake kwa ugoro anao post humu
Na atakaporudi ataandaliwa mapokezi makubwa utafikiri Mgeni, Yenye sifa kibao ambazo 70% ni uongo.
Tushapigwa, magufuli tutakukumbuka daima , mungu akupumzishe daima uliko.
Huyo TIJA akiletwa huwa anafichwa wapi? Maana huku mitaani haonekani.
Alizurura Kikwete hivi hivi kwa kisingizio hicho hicho cha tija...mpaka anaondoka hakuna la maana.
Wananchi wafungue macho sasa, CCM ni janga!
Sasa inakuwaje faida? Hujawahi kusikia mpaka sasa kwenye kulipa ndo kwanza tunalipa riba, hata mikopo wenyewe hatujaugusa.Kwani ni hasara? Mkopo ni hasara? Una akili timamu?
Lwa mwendo huu udini utarudi kwa kurejea kuwa dini flani inauza mbuga zetuRasmi kuuza ardhi zetu kwa waarabu !
Kama wamepokea advance utaanzaje kuahirisha?Yanatokea matatizo badala ya kukatisha ziara ndio kwanza anakwenda kuonana na wanaotuhumiwa.
Kweli tumepata Rais.
Tunawatakia mauziano mema ya rasilimali zetuNaona huko Hakuna kuvaa barakoa.
Na mikono wanashikana.
Huku tunaandaa matamasha ya kuhamasisha chanjo.
Mambo ni mengi!
Akitoka oman apite saudia kusalimia ndg na jamaa!
Yanatokea matatizo badala ya kukatisha ziara ndio kwanza anakwenda kuonana na wanaotuhumiwa.
Kweli tumepata Rais.mlm
KIla nikipitia huu Uzi dah! Hii nchi ina watu wajinga sana
Ukimaanisha unampenda kwa vile ni muislamu au sijaelewa ?Tunamuombea kheri mama yetu kipenzi arudi salama na apokelewe salama, wewe humpendi wengine tunampenda kwa ajili ya Allah.
Safari ya 15 hiiHivi hii ni safari ya ngapi ya nje tangu aingie madarakani?? Je baba yetu safari hii ameambatana naye?
In shaa Allah nitakujibu keshoUkimaanisha unampenda kwa vile ni muislamu au sijaelewa ?
DuhNaona huko Hakuna kuvaa barakoa.
Na mikono wanashikana.
Huku tunaandaa matamasha ya kuhamasisha chanjo.
Mambo ni mengi!
Akitoka oman apite saudia kusalimia ndg na jamaa!
Ana utu?Sheikh, hawa watu sio wa kuongozwa na marais wanaojielewa na kutambua thamani ya mtu mfano wa huyu mama maaashallah Allah amemjaalia, ana huruma, utu na upendo,, hawa dawa yao watawaliwe na rais dikteta, wateswe, wanyongwe labda ndio wanatamani iwe hivyo. Na watamkumbuka sana huyu mama.
Nani kasema alifia Oman?Angalia huyu, yani mnaongea vitu kwa kubahatisha 😁 kweli bongo sihami.
Amefarikia saudia na sio oman, Allah Allah amuingize katika pepo huyu ndugu yetu idi amin
Ndio siunaona tunajengea mashimo ya choo.Mikopo kwako ni faida eeh?!