n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Punguani wengine, Sasa hapo anapiga kazi gani mtu kutwa kucha kuzurula kwenye nchi za watu wakati huku kaacha changamoto kibao. Kiongozi dhaifu, taifa halijawahi kuona. Nonsense.Acheni upotoshaji ni ziara yenye tija na manufaa kwa nchi yetu mwacheni mama apige kazi