Huyo TIJA akiletwa huwa anafichwa wapi? Maana huku mitaani haonekani.Acheni upotoshaji ni ziara yenye tija na manufaa kwa nchi yetu mwacheni mama apige kazi
SAπ―Sa100 huyoooo
Naona kaenda rasmi Kuzungumza na Mwekezaji Mkuu wa Ngorongoro na Mauwaji ya huko kuwa sasa hali ni Shwaro ili aje rasmi Kuwekeza katika Damu za Mateso ya wana Ngorongoro wasio na Hatia.Video ya Mapokezi ya Rais . Samia huko Oman . Itakuwa ni ziara ya siku tatu
View attachment 2258451View attachment 2258452
Mkuu, mbona tuliambiwa kuwa, WAPINZANI ndio wanao chelewesha maendeleo!!?Nachosikitika hata wapinzani wenyewe wamekaa kimya wanaongelea jambo hilo kishingo upande.
umeongea ukweli hii safari iko ndan ya plan.Umesahau kuwa ni mwanafunzi chini ya bwana yule ya mgaso..moja ya somo ni kuwa ikitokea taharuki nchini panda ndege kavinjari ukirudi yatakuwa yameisha ni upepo tu utapita na wamasai watapunguza mori.
#MaendeleoHayanaChama