Watu wenye kuendekeza udini udini katika nchi hii huwa ni wachache sana na ndio maana wanakuwa hawana impact yeyote katika jami !! Watu sehemu zote za nchi wanaishi kama ndugu bila kuangalia huyu ni wa dini gani au ni wa kabila gani au ni wa rangi gani !! Usibabaike na wabaguzi maana Hao wapo tu duniani kote!! Na kote huko walipo huwa ni wenye kushindwa tu !! Piga kazi brother life is too short !!!Waarabu/waislamu wanawachukia, uislamu wanaupiga vita. Hawa watu sheikh ni hatari sana.
Duh !!Ndio siunaona tunajengea mashimo ya choo.
Hiyo katiba ilitengenezwa na watu wasiofikiria yajayo kwa kweliNi according to Katiba! Kama vile mirathi,akifa Baba yako,hakuna Jinsi Mama yako ndiyo atakua mrithi wake!!! Ni automatically hiyo haina ubishi!!!
Hiyo mistari mitatu uliyoiandika nimeirudia kuisoma Mara tano !! Maneno yanafikirisha lakini nakosa majibu !!Uzururaji kama huu ndio maana bedui Jiwe akajiokotea chama Cha mapinduzi pale majalala ya Lumumba, Kuna hatari chizi maarifa mwingine kuikota ccm 2025
Nalozi ndo nnKwani kazi ya nalozi ni ipi mkuu!!
Nyerere alitudanganya sana. R I P Alhaji Iddi Amini.Na alifia huko huko tuliyemwita nduli 😂
Daaah! [emoji23][emoji23][emoji23]Naona ameenda kuwasilisha hati ya Umasaini kwa mmiliki mpya [emoji3][emoji3][emoji3]!!!
Wazee wa "Asee Lafikiii" shughuli wanayo!
ameenda kuuza twiga wetu? maana sielewi tuendapoVideo ya Mapokezi ya Rais . Samia huko Oman . Itakuwa ni ziara ya siku tatu
View attachment 2258451View attachment 2258452
Una mawazo ya kimasikini sana Tafuta Helaameenda kuuza twiga wetu? maana sielewi tuendapo
Watu wenye kuendekeza udini udini katika nchi hii huwa ni wachache sana na ndio maana wanakuwa hawana impact yeyote katika jami !! Watu sehemu zote za nchi wanaishi kama ndugu bila kuangalia huyu ni wa dini gani au ni wa kabila gani au ni wa rangi gani !! Usibabaike na wabaguzi maana Hao wapo tu duniani kote!! Na kote huko walipo huwa ni wenye kushindwa tu !! Piga kazi brother life is too short !!!
Wengi humu jf ni vijana wa umri mdogo ! Mengi hawayajui !!
Mimi nilidhani angeenda kwanza Ngorongoro Kwa Masai kuwa Julia hali na kutoa pole na kuwa fariji , tuliambiwa huyu ndo ana unganisha taifa imekuaje Kawa kimbia wamasai ?, Jamani CCM huwa ni majangale
Shida siyo umri wa Jamshid bali utawala wa kisultan unaonekana bora kuliko huu muungano kwa Wazanzibar wengi.Jamshid ana umri wa karibu miaka 100 sasa, arudi kufanya nini znz?
Upotoshaji ni kielelezo cha ukosefu wa mawazo yenye kujenga, siku zote wabongo ni malalamiko na umbeya tu.Acheni upotoshaji ni ziara yenye tija na manufaa kwa nchi yetu mwacheni mama apige kazi
Wakija wawekezaji nenda peleka CV zako upate kazi ili upate kipato na haya malalamiko yako yaweze kumalizika.Huyo TIJA akiletwa huwa anafichwa wapi? Maana huku mitaani haonekani.
Alizurura Kikwete hivi hivi kwa kisingizio hicho hicho cha tija...mpaka anaondoka hakuna la maana.
Wananchi wafungue macho sasa, CCM ni janga!
LosindongoGwanyoko
Nchi imeshauzwa msemo wa jobu mzee wa kutishia watu waripoti bungeniVideo ya Mapokezi ya Rais . Samia huko Oman . Itakuwa ni ziara ya siku tatu
View attachment 2258451View attachment 2258452
Nchi imeuzwa kitambo jobu alifichuaVideo ya Mapokezi ya Rais . Samia huko Oman . Itakuwa ni ziara ya siku tatu
View attachment 2258451View attachment 2258452