Rais Samia aweka rekodi ya Dunia. Tuna uwezo wa kuzalisha umeme hata mvua isiponyesha miaka 3. Lita bilioni 2 za maji bwawa la Nyerere zakusanywa

Rais Samia aweka rekodi ya Dunia. Tuna uwezo wa kuzalisha umeme hata mvua isiponyesha miaka 3. Lita bilioni 2 za maji bwawa la Nyerere zakusanywa

Hata Wanawake wa Kagera wakikusanywa wanaweza kuzalisha umeme wa maji sio kila kitu samia.
 
Hawa Mwendazake Aliweka Tshs 27000/=, Kote, Mjini Na Vijijini
Wao Wakaweka 321000/= Ndani Ya Manicipal Ambapo Watanganyika Hawana Huo Uwezo
 
Hawa Mwendazake Aliweka Tshs 27000/=, Kote, Mjini Na Vijijini
Wao Wakaweka 321000/= Ndani Ya Manicipal Ambapo Watanganyika Hawana Huo Uwezo
Muda utafika ambapo umeme itakuwa bure kuunganishiwa chini ya uongozi wa Mama yetu Mpendwa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Bwawa na Samia wapi na wapi.Bwawa la Mwl Nyerere ni Magufuli jamani hivi mbona akili zimewakimbia ?.
 
Kuna haja ya huyu jamaa akileta hizi nyuzi zake,tumkaushie tusijibu lolote,ni kama anapenda reply nyingi thus why haishi kuongea ujinga ujinga.
 
Acha dharau zako wewe. Ungekuwa na shukurani ulitakiwa upongeze juhudi zilizofaywa na serikali kumaliza mgao wa umeme hapa Nchini
Unalipa PAYE? Kama hauko kwenye hiyo roll utalamaba makalio Kwa Shukrani, na kuwaza kijinga kama wewe kwamba isiponyesha mvua kutakua hakuna evapotranspiration na maji yatabakia constant! Sijui unawaza Kwa kutumia balls? Mradi brainchild ya Mwalimu , jpm in practice, makamba na mama wameoatumia kutuibia hela zetu Leo unapanua magego a waste sperm!
 
Unalipa PAYE? Kama hauko kwenye hiyo roll utalamaba makalio Kwa Shukrani, na kuwaza kijinga kama wewe kwamba isiponyesha mvua kutakua hakuna evapotranspiration na maji yatabakia constant! Sijui unawaza Kwa kutumia balls? Mradi brainchild ya Mwalimu , jpm in practice, makamba na mama wameoatumia kutuibia hela zetu Leo unapanua magego a waste sperm!
Wivu tu ndio unakusimbua hapa. Si mlikuwa mnabetua Midomo yenu kuwa mama hatakamilisha mradi huo? Saizi mmeanza kuweweseka na kupiga mayowe.
 
Kuna haja ya huyu jamaa akileta hizi nyuzi zake,tumkaushie tusijibu lolote,ni kama anapenda reply nyingi thus why haishi kuongea ujinga ujinga.
Anzisha jukwaa lako ndio uwawekee watu masharti yako ya kijinga. hili ni jukwaa la watu wazima wenye akili Timamu na wanaojitambua vyema. Usifikirie watu ni vichaa na wendawazimu kama wewe
 
Bila Magufuli hili bwawa lisingejengwa
 
Wivu tu ndio unakusimbua hapa. Si mlikuwa mnabetua Midomo yenu kuwa mama hatakamilisha mradi huo? Saizi mmeanza kuweweseka na kupiga mayowe.
Amekamilisha Kwa wakati uliopangwa ?Kama ni Kwa wakati uliopangwa mbona anaanza kuingia ma-deal ya kuuza umeme nje na si kuutumia umeme huo kubadili maisha ya watanzania Kwa kuwauzia umeme wa bei poa na kukuza viwanda vitavyotupa ajira watanzania.kuna agenda gani ya kuuza umeme nje na huu tulio nao haututosh Lucas? Inawezekana mama ako alikuwa Hana hela za kukamilisha mradi akakopa Kwa Ruto .
 
Amekamilisha Kwa wakati uliopangwa ?Kama ni Kwa wakati uliopangwa mbona anaanza kuingia ma-deal ya kuuza umeme nje na si kuutumia umeme huo kubadili maisha ya watanzania Kwa kuwauzia umeme wa bei poa na kukuza viwanda vitavyotupa ajira watanzania.kuna agenda gani ya kuuza umeme nje na huu tulio nao haututosh Lucas? Inawezekana mama ako alikuwa Hana hela za kukamilisha mradi akakopa Kwa Ruto .
Tambua ya kuwa tukiuza nje ya Nchi tunapata faida ya kuongeza mapato yetu yatakayotumiwa katika shughuli nyinginezo za maendeleo. Sisi mahitaji yetu ya umeme ni megawati 1880 wakati mpaka sasa tunazalisha megawati 3500 hapo bado kuwasha mtambo mmoja katika bwawa la mwalimu Nyerere ambalo ikiwashwa yote linazalisha megawati 2115. Sasa unataka huo umeme tuupeleke wapi zaidi ya kuanza kuuza nje ya Nchi?
 
Back
Top Bottom