Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo hata buza hawezi kutikisaLUMUMBA siyo Dunia ila ni Sehemu ya Dunia.
RAIS Samia ni Rais mwenye ushawishi zaidi Duniani Kwote kwa sasa.Huyo hata buza hawezi kutikisa
Unawaza ujinga sana wewe.Hata Wanawake wa Kagera wakikusanywa wanaweza kuzalisha umeme wa maji sio kila kitu samia.
Muda utafika ambapo umeme itakuwa bure kuunganishiwa chini ya uongozi wa Mama yetu MpendwaHawa Mwendazake Aliweka Tshs 27000/=, Kote, Mjini Na Vijijini
Wao Wakaweka 321000/= Ndani Ya Manicipal Ambapo Watanganyika Hawana Huo Uwezo
Bwawa na Samia wapi na wapi.Bwawa la Mwl Nyerere ni Magufuli jamani hivi mbona akili zimewakimbia ?.Ndugu zangu Watanzania,
Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.
Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.
Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.
Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.
Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.
Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.
Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.
Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.
Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.
Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172
Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Embu soma andiko langu kwa kutulia kabisa upate majibu ya kila swali lakoBwawa na Samia wapi na wapi.Bwawa la Mwl Nyerere ni Magufuli jamani hivi mbona akili zimewakimbia ?.
Endelea Kujizima Data, CCM Inaaga Kutoka Madarakani Maana Na Yenyewe Ni Chama PinzaniMuda utafika ambapo umeme itakuwa bure kuunganishiwa chini ya uongozi wa Mama yetu Mpendwa
Moderator naomba mnibadilishie na kunirekebishia hapo juu penye kichwa . Pasomeke Aweka na siyo Aweke.
Unalipa PAYE? Kama hauko kwenye hiyo roll utalamaba makalio Kwa Shukrani, na kuwaza kijinga kama wewe kwamba isiponyesha mvua kutakua hakuna evapotranspiration na maji yatabakia constant! Sijui unawaza Kwa kutumia balls? Mradi brainchild ya Mwalimu , jpm in practice, makamba na mama wameoatumia kutuibia hela zetu Leo unapanua magego a waste sperm!Acha dharau zako wewe. Ungekuwa na shukurani ulitakiwa upongeze juhudi zilizofaywa na serikali kumaliza mgao wa umeme hapa Nchini
Wivu tu ndio unakusimbua hapa. Si mlikuwa mnabetua Midomo yenu kuwa mama hatakamilisha mradi huo? Saizi mmeanza kuweweseka na kupiga mayowe.Unalipa PAYE? Kama hauko kwenye hiyo roll utalamaba makalio Kwa Shukrani, na kuwaza kijinga kama wewe kwamba isiponyesha mvua kutakua hakuna evapotranspiration na maji yatabakia constant! Sijui unawaza Kwa kutumia balls? Mradi brainchild ya Mwalimu , jpm in practice, makamba na mama wameoatumia kutuibia hela zetu Leo unapanua magego a waste sperm!
Utaaga wewe na siyo CCM hii ya Rais Samia iliyo imara na nguvu kubwa ya ushawishiEndelea Kujizima Data, CCM Inaaga Kutoka Madarakani Maana Na Yenyewe Ni Chama Pinzani
Anzisha jukwaa lako ndio uwawekee watu masharti yako ya kijinga. hili ni jukwaa la watu wazima wenye akili Timamu na wanaojitambua vyema. Usifikirie watu ni vichaa na wendawazimu kama weweKuna haja ya huyu jamaa akileta hizi nyuzi zake,tumkaushie tusijibu lolote,ni kama anapenda reply nyingi thus why haishi kuongea ujinga ujinga.
Amekamilisha Kwa wakati uliopangwa ?Kama ni Kwa wakati uliopangwa mbona anaanza kuingia ma-deal ya kuuza umeme nje na si kuutumia umeme huo kubadili maisha ya watanzania Kwa kuwauzia umeme wa bei poa na kukuza viwanda vitavyotupa ajira watanzania.kuna agenda gani ya kuuza umeme nje na huu tulio nao haututosh Lucas? Inawezekana mama ako alikuwa Hana hela za kukamilisha mradi akakopa Kwa Ruto .Wivu tu ndio unakusimbua hapa. Si mlikuwa mnabetua Midomo yenu kuwa mama hatakamilisha mradi huo? Saizi mmeanza kuweweseka na kupiga mayowe.
Tambua ya kuwa tukiuza nje ya Nchi tunapata faida ya kuongeza mapato yetu yatakayotumiwa katika shughuli nyinginezo za maendeleo. Sisi mahitaji yetu ya umeme ni megawati 1880 wakati mpaka sasa tunazalisha megawati 3500 hapo bado kuwasha mtambo mmoja katika bwawa la mwalimu Nyerere ambalo ikiwashwa yote linazalisha megawati 2115. Sasa unataka huo umeme tuupeleke wapi zaidi ya kuanza kuuza nje ya Nchi?Amekamilisha Kwa wakati uliopangwa ?Kama ni Kwa wakati uliopangwa mbona anaanza kuingia ma-deal ya kuuza umeme nje na si kuutumia umeme huo kubadili maisha ya watanzania Kwa kuwauzia umeme wa bei poa na kukuza viwanda vitavyotupa ajira watanzania.kuna agenda gani ya kuuza umeme nje na huu tulio nao haututosh Lucas? Inawezekana mama ako alikuwa Hana hela za kukamilisha mradi akakopa Kwa Ruto .