Rais Samia aweka rekodi ya Dunia. Tuna uwezo wa kuzalisha umeme hata mvua isiponyesha miaka 3. Lita bilioni 2 za maji bwawa la Nyerere zakusanywa

Rais Samia aweka rekodi ya Dunia. Tuna uwezo wa kuzalisha umeme hata mvua isiponyesha miaka 3. Lita bilioni 2 za maji bwawa la Nyerere zakusanywa

Tambua ya kuwa tukiuza nje ya Nchi tunapata faida ya kuongeza mapato yetu yatakayotumiwa katika shughuli nyinginezo za maendeleo. Sisi mahitaji yetu ya umeme ni megawati 1880 wakati mpaka sasa tunazalisha megawati 3500 hapo bado kuwasha mtambo mmoja katika bwawa la mwalimu Nyerere ambalo ikiwashwa yote linazalisha megawati 2115. Sasa unataka huo umeme tuupeleke wapi zaidi ya kuanza kuuza nje ya Nchi?
Hahahaha Aisee noma sana.haya Lucas
 
Acha habari za uzushi ndugu yangu mtanzania. Serikali ya CCM imekuwa na dhamira njema na utayari mkubwa sana wa kushughulika na kutatua changamoto za watanzania.
Tangu 1961 - 2025 matatizo ni yale yale mpaka leo.
 
Tangu 1961 - 2025 matatizo ni yale yale mpaka leo.
Kwani wewe kwa ufahamu wako unafikiria mwaka 1961 Watanzania tulikuwa wangapi na sasa tupo wangapi? Kama idadi ya watu inaongezeka. Unafikiri kero zenyewe zitakosekana vipi kuwepo na kuongezeka?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Habari yako, Lucas Hebel Mwashambwa,

Kwa kuzingatia hoja zako juu ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ni muhimu pia kuzingatia maoni yanayopinga au kutoa mtazamo tofauti kuhusu mambo uliyoyasema. Kwa hiyo, nitabisha kwa hoja hasi kwa kuzingatia baadhi ya mambo ambayo yanaweza kutoa mtazamo tofauti kuhusu uongozi wake na mafanikio ya Taifa letu.
1.Uwekezaji wa Bwawa la Mwalimu Nyerere na Uzalishaji wa Umeme Ingawa mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere umeendelea vizuri na kufikia asilimia 99.8, ni muhimu kujiuliza:

Je, uwekezaji huu ulifanywa kwa gharama gani kwa wananchi wa kawaida?

Uwekezaji wa mabilioni ya shilingi kwenye mradi huu umeweza kusababisha kupunguzwa kwa bajeti katika sekta nyingine muhimu kama elimu, afya, na miundombinu ya kijamii. Je, hii imeathiri wananchi wa kawaida?
1. Je, uzalishaji wa umeme umeleta faida kwa wananchi wote?

Ingawa umeme unazalishwa kwa wingi, bado kuna maeneo mengi ya vijijini ambayo hayajafikiwa na umeme wa taifa. Je, mafanikio haya yanawafikia wananchi wote, au yanakusudiwa kwa faida ya watu wachache na sekta ya viwanda?

2.Mvua na Ukame
Unasema kuwa hata kama mvua haitanyesha kwa miaka mitatu, Tanzania bado itakuwa na umeme wa kutosha. Hata hivyo, ukame hauna athari tu kwenye uzalishaji wa umeme bali pia kwenye kilimo, ufugaji, na maji ya kunywa. Je, serikali imejiandaa kwa kutosha kukabiliana na athari za ukame kwenye sekta hizi?

3. Uongozi wa Rais Samia na Uwajibikaji
Unamtaja Rais Samia kama kiongozi mwenye maono makubwa na uwezo wa kiakili. Hata hivyo, ni muhimu kujiuliza:
Je, uongozi wake umekuwa na uwajibikaji na uwazi kwa wananchi?

Kuna maswali juu ya uwazi katika mikataba ya uwekezaji, hasa katika sekta ya nishati na madini. Je, wananchi wamepewa taarifa kamili kuhusu mikataba hii?
Je, anaendesha serikali kwa misingi ya haki na usawa?

Kuna malalamiko kutoka kwa baadhi ya watanzania kwamba uongozi wake haujawa wa kuwajibika kwa wote, hasa wale walio katika maeneo ya vijijini na wale ambao hawana sauti katika jamii.

4.Kuhusu Ushindani wa Ndani ya CCM
Unasema kuwa Rais Samia hana haja ya kushindanishwa ndani ya chama chake kwa sababu ana uwezo mkubwa. Hata hivyo, demokrasia inahitaji uwiano wa nguvu na uwajibikaji. Kwa kumwachia kiongozi asiwe na mshindani, inaweza kusababisha uongozi usio na mizani na kukosa uwajibikaji. Je, hii ni njia sahihi ya kuendesha demokrasia?

5. Mafanikio ya Taifa na Hali ya Wananchi wa Kawaida
Ingawa unasisitiza mafanikio makubwa ya Taifa, ni muhimu kujiuliza:
Je, mafanikio haya yamebadilisha maisha ya wananchi wa kawaida?
Bei za bidhaa za kimsingi zimeendelea kupanda, na hali ya ufukara bado ni changamoto kubwa nchini. Je, mafanikio ya Taifa yamewafikia wananchi wa kawaida?
Je, kuna usawa katika usambazaji wa mafanikio haya?
Kuna dalili za kukosekana kwa usawa katika usambazaji wa mafanikio, hasa kati ya maeneo ya mijini na vijijini.

6.Kuhusu Uuzaji wa Umeme kwa Nchi Jirani
Unasema kuwa Tanzania ina mipango ya kuuza umeme kwa nchi jirani kama Kenya na Zambia. Hata hivyo, ni muhimu kujiuliza:

Je, wananchi wa Tanzania wamepata faida kamili ya rasilimali zao kabla ya kuuza kwa nchi jirani?

Kuna wasiwasi kwamba wakati umeme unauzwa nje, bado kuna maeneo mengi nchini ambayo hayajafikiwa na umeme wa taifa.

Hitimisho
Kwa kuzingatia hoja hizi hasi, ni wazi kuwa kuna maswali mengi ambayo yanahitaji majibu kuhusu uongozi wa Rais Samia na mafanikio ya Taifa letu. Ingawa kuna mafanikio makubwa yaliyopatikana, ni muhimu kuhakikisha kuwa mafanikio haya yanawafikia wananchi wote na kuwa na uwazi na uwajibikaji katika uongozi.

Kwa hiyo, hoja yako inaweza kushindwa kwa kuzingatia mambo haya hasi ambayo yanaweza kuleta mtazamo tofauti kuhusu uongozi wa Rais Samia na mafanikio ya Taifa letu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Iyeeena iyeeenaa!!!! Samia Iyeeena, iyeeena iyeeena Samia nambari wani
 
Habari yako, Lucas Hebel Mwashambwa,

Kwa kuzingatia hoja zako juu ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ni muhimu pia kuzingatia maoni yanayopinga au kutoa mtazamo tofauti kuhusu mambo uliyoyasema. Kwa hiyo, nitabisha kwa hoja hasi kwa kuzingatia baadhi ya mambo ambayo yanaweza kutoa mtazamo tofauti kuhusu uongozi wake na mafanikio ya Taifa letu.
1.Uwekezaji wa Bwawa la Mwalimu Nyerere na Uzalishaji wa Umeme Ingawa mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere umeendelea vizuri na kufikia asilimia 99.8, ni muhimu kujiuliza:

Je, uwekezaji huu ulifanywa kwa gharama gani kwa wananchi wa kawaida?

Uwekezaji wa mabilioni ya shilingi kwenye mradi huu umeweza kusababisha kupunguzwa kwa bajeti katika sekta nyingine muhimu kama elimu, afya, na miundombinu ya kijamii. Je, hii imeathiri wananchi wa kawaida?
1. Je, uzalishaji wa umeme umeleta faida kwa wananchi wote?

Ingawa umeme unazalishwa kwa wingi, bado kuna maeneo mengi ya vijijini ambayo hayajafikiwa na umeme wa taifa. Je, mafanikio haya yanawafikia wananchi wote, au yanakusudiwa kwa faida ya watu wachache na sekta ya viwanda?

2.Mvua na Ukame
Unasema kuwa hata kama mvua haitanyesha kwa miaka mitatu, Tanzania bado itakuwa na umeme wa kutosha. Hata hivyo, ukame hauna athari tu kwenye uzalishaji wa umeme bali pia kwenye kilimo, ufugaji, na maji ya kunywa. Je, serikali imejiandaa kwa kutosha kukabiliana na athari za ukame kwenye sekta hizi?

3. Uongozi wa Rais Samia na Uwajibikaji
Unamtaja Rais Samia kama kiongozi mwenye maono makubwa na uwezo wa kiakili. Hata hivyo, ni muhimu kujiuliza:
Je, uongozi wake umekuwa na uwajibikaji na uwazi kwa wananchi?

Kuna maswali juu ya uwazi katika mikataba ya uwekezaji, hasa katika sekta ya nishati na madini. Je, wananchi wamepewa taarifa kamili kuhusu mikataba hii?
Je, anaendesha serikali kwa misingi ya haki na usawa?

Kuna malalamiko kutoka kwa baadhi ya watanzania kwamba uongozi wake haujawa wa kuwajibika kwa wote, hasa wale walio katika maeneo ya vijijini na wale ambao hawana sauti katika jamii.

4.Kuhusu Ushindani wa Ndani ya CCM
Unasema kuwa Rais Samia hana haja ya kushindanishwa ndani ya chama chake kwa sababu ana uwezo mkubwa. Hata hivyo, demokrasia inahitaji uwiano wa nguvu na uwajibikaji. Kwa kumwachia kiongozi asiwe na mshindani, inaweza kusababisha uongozi usio na mizani na kukosa uwajibikaji. Je, hii ni njia sahihi ya kuendesha demokrasia?

5. Mafanikio ya Taifa na Hali ya Wananchi wa Kawaida
Ingawa unasisitiza mafanikio makubwa ya Taifa, ni muhimu kujiuliza:
Je, mafanikio haya yamebadilisha maisha ya wananchi wa kawaida?
Bei za bidhaa za kimsingi zimeendelea kupanda, na hali ya ufukara bado ni changamoto kubwa nchini. Je, mafanikio ya Taifa yamewafikia wananchi wa kawaida?
Je, kuna usawa katika usambazaji wa mafanikio haya?
Kuna dalili za kukosekana kwa usawa katika usambazaji wa mafanikio, hasa kati ya maeneo ya mijini na vijijini.

6.Kuhusu Uuzaji wa Umeme kwa Nchi Jirani
Unasema kuwa Tanzania ina mipango ya kuuza umeme kwa nchi jirani kama Kenya na Zambia. Hata hivyo, ni muhimu kujiuliza:

Je, wananchi wa Tanzania wamepata faida kamili ya rasilimali zao kabla ya kuuza kwa nchi jirani?

Kuna wasiwasi kwamba wakati umeme unauzwa nje, bado kuna maeneo mengi nchini ambayo hayajafikiwa na umeme wa taifa.

Hitimisho
Kwa kuzingatia hoja hizi hasi, ni wazi kuwa kuna maswali mengi ambayo yanahitaji majibu kuhusu uongozi wa Rais Samia na mafanikio ya Taifa letu. Ingawa kuna mafanikio makubwa yaliyopatikana, ni muhimu kuhakikisha kuwa mafanikio haya yanawafikia wananchi wote na kuwa na uwazi na uwajibikaji katika uongozi.

Kwa hiyo, hoja yako inaweza kushindwa kwa kuzingatia mambo haya hasi ambayo yanaweza kuleta mtazamo tofauti kuhusu uongozi wa Rais Samia na mafanikio ya Taifa letu.
Nimesoma andiko lako lote .ambapo majibu yako yapo mengine yapo katika andiko hili na mengine yapo katika maandiko yangu mengi ambayo nimekuwa nikiyaweka humu jukwaani mara kwa mara kuelezea mafanikio ya Rais Samia katika kila nyanja.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Inawezekana Nyumbani kwako huna umeme
 
Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.
Hapa nilipo wiki ya tatu umeme uliopo ni low voltage, hata friza hazigandishi wala kupooza
 
Naomba unipe haya majibu..., umeme una faida gani kama sio affordable ?

Aliyetangulia alisema wote waunganishwe kwa elfu 27 na Bwawa likiisha bei ishuke sasa hivi umeme kuunganishwa umepanda na tumeambiwa hata Bwawa likiisha umeme hautashuka...

Kuna pesa za kumwaga za Nishati Safi (Misaada) Lakini bado madalali wanahangaika kugawa mitungi bure ili wauze Gesi ambayo hatuna na inanunuliwa kutoka nje (eti wanataka wapunguze bei kwa kutumia Kodi zetu)

 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Wawaulize Zambia nini kiliikuta Kariba dam.....!?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huu uzi tutautumia kama risiti mgao ukianza….pumbaaaaav
 
Hapa nilipo wiki ya tatu umeme uliopo ni low voltage, hata friza hazigandishi wala kupooza
Itakuwa wapo kwenye marekebisho. maana kipindi hiki kimekuwa na matengenezo mbalimbali ikiwepo ya kuboresha nguvu na kuimbwa wa umeme kwa baadhi ya njia kutegemeana na matumizi ya eneo husika na uwekezaji uliopo eneo hilo. Kwa hiyo usijali .uwe na subira mambo yatakaa sawa tu na utafurahi Mwenyewe
 
Back
Top Bottom