Rais Samia aweka rekodi ya Dunia. Tuna uwezo wa kuzalisha umeme hata mvua isiponyesha miaka 3. Lita bilioni 2 za maji bwawa la Nyerere zakusanywa

Rais Samia aweka rekodi ya Dunia. Tuna uwezo wa kuzalisha umeme hata mvua isiponyesha miaka 3. Lita bilioni 2 za maji bwawa la Nyerere zakusanywa

Umeme wa maji sio RELIABLE, palitakiwa kuwa na sources zingine za Umeme, Lukas mkishatumiwa msg kwenye ma group yenu mkiambiwa msambaze basi hakuna kusoma hakuna kufanya nini hakuna kuchuja, unakuja unazibandika kama zilivyo sio ? Hydropower inapitwa hata na Umeme wa wind turbines... Hydropower ni kama Umeme wa one hivi kwa reliability, hapo bado mzazi wa Umeme utakuwepo, sababu kuna sehemu bado Umeme unakata nimeona kuna mdau huko juu kasema. Leo kwenye whatsapp group zenu wamewatumia habari gani na picha gani mzisambaze mkuu ?
 
Umeme wa maji sio RELIABLE, palitakiwa kuwa na sources zingine za Umeme, Lukas mkishatumiwa msg kwenye ma group yenu mkiambiwa msambaze basi hakuna kusoma hakuna kufanya nini hakuna kuchuja, unakuja unazibandika kama zilivyo sio ? Hydropower inapitwa hata na Umeme wa wind turbines... Hydropower ni kama Umeme wa one hivi kwa reliability, hapo bado mzazi wa Umeme utakuwepo, sababu kuna sehemu bado Umeme unakata nimeona kuna mdau huko juu kasema. Leo kwenye whatsapp group zenu wamewatumia habari gani na picha gani mzisambaze mkuu ?
Kwa sasa kuna matengenezo yanaendelea baadhi ya maeneo,ikiwa ni pamoja na ubadilishaji wa nguzo pamoja na kuongeza umeme. Ambapo hata taarifa hutolewa mapema. Lakini pia napenda kukwambia kuwa Tanzania tunatumia vyanzo mbalimbali vya umeme ikiwa ni pamoja na gas,jua na tunakwenda mbali zaidi kuanza kuzalisha Umeme kwa kutumia joto ardhi.

Jambo la kukukumbusha na kukufahamisha ni kuwa umeme unaotokana na maji ni 65% pekee .ambapo hizo zingine 35% ni kutoka vyanzo vingine mchanganyiko. Naamini umeielewa sasa.
 
Sayansi ya kuhifadhi maji natumaini inatuwezesha kuwa nayo kwa miaka hiyo mitatu.

Mungu ni mkubwa sana, anao uwezo wa kutupatia joto kali kwa miezi sita mfululizo majani yote yakakauka na mifugo ikaanza kufa huko porini.

Iwepo sayansi ya kisasa ya kutoyapoteza hayo maji.
 
Lengo la hilo bwawa ilikuwa ni kupata umeme wa bei rahisi sijui kama malengo hayo yamefimiwa, la pili hilo la kusema hata misimu mitatu hilo bwawa linaweza kuzalisha umeme si mtaalamu hapo lkn hilo jambo lisifanyiwe siasa ikawa kama pale Dodoma miaka Ile ooooh Dodoma Ina visima vya maji ya kutosha kugawa morogoro na singida na yenyewe bila kuteteleka lkn ilipotangazwa tunahamia Dodoma kilichofuata mabomba mengi yanatoa mijusi,kilichopo bei ishuke baada ya bwawa huo ndio msaada Kwa mwananchi na si kuwepo umeme ambao kununua ni shida
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi lilijengwa kwa Maamuzi ya Awamu ya 5 au ya 6. Na wadau wa ppp walikuwa wanataka umeme utoke wapi vile na sio huko rufiji
 
Ishia hapo hapoooo! Aiseee mbona mnapenda sanaa uchawa hivo, sifa kwa mama kidogo tu sifa kwa mama.
Sikiliza hizo pongezi anastahili MAGUFURI kwasababu yeye ndo aliyewasha gari hata mabeberu walipokua wanamchimba beat yeye ndo alikula msimamo. Huyu ameendeleza tu ni kama saidia fundi tu na alivo hivo angeweza kukataa wakati ndo huko huko anakoomba na mikopo. R I P
MAGUFURI Mungu aiweke nafsi yako mahali pema peponi.
 
Wivu tu ndio unakusimbua hapa. Si mlikuwa mnabetua Midomo yenu kuwa mama hatakamilisha mradi huo? Saizi mmeanza kuweweseka na kupiga mayowe.
Kauli za watu wasiokua na hoja Huwa wanakimbilia neno wivu utafikiri hii nchi ni Mali ya familia!
Jibu hoja nilizoandika!
Nyie nyie machawa ambao hamjitambui Ndio nlikua sceptical kama atamaliza. Acha ujinga
 
Lengo la hilo bwawa ilikuwa ni kupata umeme wa bei rahisi sijui kama malengo hayo yamefimiwa, la pili hilo la kusema hata misimu mitatu hilo bwawa linaweza kuzalisha umeme si mtaalamu hapo lkn hilo jambo lisifanyiwe siasa ikawa kama pale Dodoma miaka Ile ooooh Dodoma Ina visima vya maji ya kutosha kugawa morogoro na singida na yenyewe bila kuteteleka lkn ilipotangazwa tunahamia Dodoma kilichofuata mabomba mengi yanatoa mijusi,kilichopo bei ishuke baada ya bwawa huo ndio msaada Kwa mwananchi na si kuwepo umeme ambao kununua ni shida
Zanzibar bei ni 27,000 lakini Hai/Boman'ombe ni 320,000+ hovyo kabisa
 
Mbona Magufuli hatajwi kqwenye hiyo rekodi?. Isingekuwa uthubutu wa Magufuli haya yote mnayoyasema yasingekuwapo. Msiwe wasauhulifu.
Hawa wakina mama wa CCM hawana akili wao wanasifia wapate pombe na nyama hata akija shetani watamsifia
 
Hivi we pimbi,Sasa hapa Samia anahusika vipi?bwawa kajenga Magu.na mvua kaleta Mungu.acha mambo yako ya kijinga na kichawachawa
 
Hivi we pimbi,Sasa hapa Samia anahusika vipi?bwawa kajenga Magu.na mvua kaleta Mungu.acha mambo yako ya kijinga na kichawachawa
Kalipwa hela ya bia tayari kashalewa anaandika upuuuz chai kabisa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Muwe na SHUKRANI enyi vibaka. Hiyo ni kazi ya JPM mpongezeni
 
Kauli za watu wasiokua na hoja Huwa wanakimbilia neno wivu utafikiri hii nchi ni Mali ya familia!
Jibu hoja nilizoandika!
Nyie nyie machawa ambao hamjitambui Ndio nlikua sceptical kama atamaliza. Acha ujinga
Huna hoja inayopaswa kutolewa majibu.
 
Back
Top Bottom