Rais Samia aweka rekodi ya Dunia. Tuna uwezo wa kuzalisha umeme hata mvua isiponyesha miaka 3. Lita bilioni 2 za maji bwawa la Nyerere zakusanywa

Rais Samia aweka rekodi ya Dunia. Tuna uwezo wa kuzalisha umeme hata mvua isiponyesha miaka 3. Lita bilioni 2 za maji bwawa la Nyerere zakusanywa

Hakuna rocord za Dunia za hivyo tuacheni kudanganya watu. Kama unamsifia Mama msifie sio kudanganya. Hizo record ni idara gani inaziweka?
Kwani ni uongo ipi nilioweka hapo? Je hufahamu kuwa ni kweli kwamba Bwawa la Mwalimu Nyerere litazalisha megawati 2115? Je hufahamu kuwa mpaka sasa tuna takribani megawati 3500? Je hufahamu kuwa matumizi yetu ya umeme ni takriban megawati 1880? Uongo ni upi katika andiko langu?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
We kenge chawa mwenye njaa
 
Kuhusu bwawa la mwalimu Nyerere nadhani tuweni wakweli, mtu pekee kwa hapa Tanzania anaetakiwa kupongezwa bila unafiki then ni hayati JPM, huyu ndio wa kupongezwa, mengine haya ni porojo tu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
cha kusikitisha nasoma hii post nikiwa gizani sasa n saa kama 3 hiv hakuna umeme

na bei ya umeme ipunguwe sasa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.


 
Kuhusu bwawa la mwalimu Nyerere nadhani tuweni wakweli, mtu pekee kwa hapa Tanzania anaetakiwa kupongezwa bila unafiki then ni hayati JPM, huyu ndio wa kupongezwa, mengine haya ni porojo tu
Jiwe alifanya mengi tatizo ukiweka kwenye uzani mengi yalikuwa maovu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hilo Bwawa alilianzisha Magufuli. Samia hakuwa na uwezo kusitisha mkataba. Sifa zi za Samia hata kidogo kuhusu Bwawa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tatizo mnaleta hizi tambo umeme ukikatika tu excuse kibao mnasahau kama mlishasema nyie magwiji
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ni Neema na Baraka kubwa sana kwa Taifa Kuongozwa na Mtu kwenye kibali kutoka kwa Mungu Mwenyewe. Kwa sababu Taifa na Nchi inakuwa na baraka na kupata Neema kwa Mambo mbalimbali na kulifanya Taifa kuwa lenye amani, utulivu,umoja na mshikamano wakati wote.

Mungu akimpa kibali mtu cha kuwa Kiongozi humpatia pia maarifa na njia za kuongoza Taifa husika ili kulifikisha salama mahali alipokusudia Mungu. Sasa kwa kuwa Rais Samia ni Mpango wa Mungu na ni chaguo la Mungu, ndio maana mnaona kama Taifa tumeendelea kuwa na mafanikio na kuvuka mitihani yote kama Taifa.

Habari njema ni kuwa kwa Sasa hata ikitokea Mvua haijanyesha hata tone kwa misimu mitatu mfululizo.Taifa letu bado litaendelea kuzalisha Umeme kama kawaida na litaendelea kuwa na Mwanga hadi vichakani huko na shughuli za uzalishaji zitaendelea kama kawaida bila kukwama wala kukatika kwa umeme.

Hii ni baada ya Rais Samia kuwekeza Mabilioni kwa Matrilioni ya pesa katika mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ambapo alilikuta likiwa 33% ,lakini mpaka sasa lipo 99.8% . Ambapo mpaka sasa limeweza kuzalisha megawati 1880 ambazo zimeunganishwa moja kwa moja kwenye grid ya Taifa.

Lakini pia ni katika uwekezaji huo wenye dhamira ya dhati umewezesha na kulipa uwezo Bwawa hilo kuhimili kukusanya lita za Maji zaidi ya Billion 2, ambazo zina uwezo wa kutosheleza kuzalisha Umeme kwa miaka mitatu mfululizo hata ikitokea mvua haijanyesha kwa miaka hiyo yote.

Mpaka sasa kama Nchi tuna umeme mwingi kupita mahitaji ya Nchi. Ambapo tuna megawati takribani 3500 wakati mahitaji yetu ni megawati kama 1880 .na hapo ikumbukwe ya kuwa bwawa la Mwalimu Nyerere likikamilika litakuwa linazalisha megawati 2115. Ambapo tutaanza kuuza umeme mwingine nje ya Nchi kama ambavyo tupo Mbioni kuwauzia Kenya na Zambia.

Kwa hakika Rais Samia ni zaidi ya Mwanadamu wa kawaida. Ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa sana wa kiakili na upeo wa kiwango cha juu sana. Ni kiongozi mwenye maono na shabaha kali sana. Ni kiongozi ambaye anaishi mbele ya wakati. Anajua masuala ya mabadiliko ya tabia ya Nchi na ndio maana alipambana kwa hali na mali kukamilisha mradi huu wa kimkakati wa uzalishaji wa umeme ili ikitokea la kutokea la ukame tuwe salama kama Nchi.

Angekuwa kiongozi mwingine mwenye upeo mdogo na akili fupi asingethubutu kuukamilisha mradi huu .badala yake angejikita kwenye vitu vyepesi na vidogo vidogo. Lakini Rais wetu kwa kuwa ni akili kubwa na mtu mwenye maono na upeo wa juu aliona mbele na kujua afanye nini juu ya kesho njema ya Taifa letu kwa kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.

Halafu unashangaa anatokea mtu huku na ulevi wake wa gongo aliyokunywa akiwa na njaa tumboni anajiropokea za zake kwa kusema kwanini Rais Samia hajashindanishwa ndani ya chama chake?.

Hivi unaweza vipi mshindanisha mtu mwenye upeo na akili kubwa kiasi hiki? Umshindanishe na nani? Katika Mzani upi? Unafikiri wana CCM ni wajinga walioamua kumpitisha kuwa mgombea pekee wa chama? Unafikiri hawatambui thamani yake? Unafikiri wana CCM waliokataa kuchukua Fomu za Urais ni wajinga?View attachment 3238172

Huyu hapa View attachment 3238175View attachment 3238178ndiye Nembo ya Taifa letu na aliyebeba hatima yetu. Asante Mungu kwa Maisha ya Rais Samia hapa Duniani. yameleta Neema na tabasamu kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania huku mioyo yao ikiwa na matumaini tele.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hiyo ni rekodi ya Dunia? Unajua Dunia au unadhani Dunia ni sawa na Dodoma
Mfano unajua juu ya bwawa la Aswan Misri au Reinacence la Ethiopia
So myopic
 
Hiyo ni rekodi ya Dunia? Unajua Dunia au unadhani Dunia ni sawa na Dodoma
Mfano unajua juu ya bwawa la Aswan Misri au Reinacence la Ethiopia
So myopic
Hivi unafikiri ni kazi ndogo kutunza maji ya kuzalisha maji kwa misimu mitatu mfululizo?
 
Stories hizi tumezizoea na uwa zinakuja kipindi uchaguzi unapokaribia. Mwendo kasi umewashinda itakua umeme?? nyambaafff.
 
Jiwe alifanya mengi tatizo ukiweka kwenye uzani mengi yalikuwa maovu
1. Demokrasia kwake was 0
2. Hakua mwamini wa team work, one man show
3. Alikua anapenda sifa binafsi

Hayo ndio nilio yaona kwake; the rest alikua more than the best
 
Back
Top Bottom