Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Hongera mkuu nakuonea wivu wa kuchanjwa huko....Mkuu,mimi huku nilipo nilisha piga kitambo tu.
Nami nitajitokeza haraka iwezekanavyo nidungwe sindano ili tuendelee na mishe zetu mitaani....
Vipi ulichanjwa J&J?