peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Nothing is the number when you die
[/QUOTE
In short , brother Mshana Jr, tulinde sana tusife!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nothing is the number when you die
[/QUOTE
In short , brother Mshana Jr, tulinde sana tusife!
Mzima leo ni marehemu kesho umesahau mkuu?
🤝Wewe ndio umeleta hoja ya Marehemu kurudi 2025, Mimi najibu kutokana na muktadha wako. Sio kwamba na kebehi kifo chake, na kama nimefanya mniwie radhi.
Kabisa. Shida yetu kila kiongozi hataki kuona kazi za wengine waliotangulia. Ndio maana hatuna maendeleo ya maana. Kama tunachukua mambo kirahisi au kwa chuki, kuna maana gani kwa Taifa endelevu? Kila ajaye ataleta yake yasiyokuwa na mwendelezo yeye akitokaHili ndio jibu sahihi. Mtangulizi apewe heshima yake na mkamilishaji pia. Nadhani Hilo waliweke sawa huko mbeleni.
Machadema kweli ni nyumbu. [emoji1787]
Kwamba anazunguka duniani kutafuta fedha?
Hahahaha CCM hawwachiani maji mezani hahahahaha
Tumia akili wanamwogopaTofautisha kuogopwa na kudharauliwa Wangekuwa wanamuogopa wangemtaja hata kidogo , Sasa kwa sababu wanamdharau wamechukulia poa. Hadi chawa mrisho mpoto kamsahau mwendazake unadhani mchezo.
Hivi bavicha mmeishiwa hoja kiasi hiki??? 2025 mna kazi ya ziada maana mnashindana bado na jpm...Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Tumia akili wanamwogopa
Hiyo inabadili ukweli gani wakati kila mtu anajua aliepeleka Ikulu hapo dodoma?CCM kwa motoooo haya sasa kazi kwenu sukuma gang, jipangeni upya kuwakabili akina Samia
Karibu sana kijana , ndio hivyo tenaHivi bavicha mmeishiwa hoja kiasi hiki??? 2025 mna kazi ya ziada maana mnashindana bado na jpm...
Vitu maalum wa Mbowe saccosHaya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Alijenga mabembea ulaya.
Hiyo ndiyo legasi ya CHEKIBOBU KIKWETE.
Hivi bavicha mmeishiwa hoja kiasi hiki??? 2025 mna kazi ya ziada maana mnashindana bado na jpm...
We umeenda kuzikwa na membe?Mlisema Magu alipo na nyie mpo. Sasa mbona hamjaenda Chato kuzikwa naye?
Kwahiyo membe naye ni mbaya kwa maneno ya makamba!Watu wazuri hawafi alijisemea makamba.
Tuendelee kusikilizia na kuangalia
Mkuu umesema Wewe mzee wa msoga Sio mbaya pia.Kwahiyo membe naye ni mbaya kwa maneno ya makamba!
Membe hajawahi kuwa Rais. Alikufa raia wa kawaida Sana.