Rais Samia azindua rasmi Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma
Iko wap sasa ...nyie chawa nyie...unatuwekea mboyoyo bila foto..
Picha ya tukio
ikulu-pic.jpg
 
ifike mahali wanasiasa tuliowaamini na tukawapa dhamana waache upindishaji. Ni ujinga kiwango cha lami japo sikumpenda mwendazake.
 
Giza halina uwezo kuzima mwanga ila mwanga una uwezo kuondosha giza. Hilo ndio jibu rahisi tu kuelewa nini maana yake.

Mtu mwaminifu hashuku kusingiziwa uharifu ila mhalifu (mwizi) wazo lake la haraka ni kuhisi anazibiwa fursa ya kupata isivyo halali hivyo huhisi mtu fulani akimtaja atamharibia hivyo anaamua kuacha kumtaja ili mipango yake isitibuliwe; ndicho kilichotokea pale kwenye kusanyiko la walamba asalai Ikulu isiyokuwa yao.

Ila Ikulu ni ya watanzania wote. Tuache ubaguzi.
 
Ni kweli ila Magu naye alizidi
Wanasiasa wa ngazi za juu Africa ni untouchable. Wapo juu ya sheria, wanapuuza katiba. Only South Africa ndipo hata rais mstaafu anaweza fungwa kwa makosa yake.
 
Samia na genge lake, walikwepa Uzinduzi wa Meli pale Mwanza


Yaan na Bado na badoo, hiii yote inaonyesha wanapambana na Marehem.

Na badooo maana SGR hiyo, Busis Iloo, JNHPP hiyooo ,

Badoooooo

Naomba kuuliza hivi SGR ikikamilika 2030 au mradi wa JNHPP au daraja la busisi likiisha , Nani atakuwa amekamilisha? Magufuli au Samiah. Tumtendee haki Mama wa watu. Aliyeanzisha na kukamilisha wapewe pongezi.

Hilo daraja la busisi linajengwa usiku kucha , halfu liishe tuseme mama hakushiriki it will not be fair. Tuache fanatism kwenye ukweli.
 
Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana

View attachment 2628625

Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !

Hii maana yake nini ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app

Inanikumbusha hadithi ya Sauli na Daudi. Sauli alichachamaa mpaka akanuia kumuua Daudi. Lakini kosa la Daudi lilikuwa lipi? Maana Sauli alitetemeka mbele ya Goliathi.
JPM ndio aliyethubutu. Hata wakifanya vipi, ukweli ndio huo.
Dodoma, bwawa la Nyerere, daraja la Busisi....sijui watu wanakataaje kama aliyeweka kisu kwa mfupa ni JPM. Rest in Eternal Peace, JPM.
 
Naomba kuuliza hivi SGR ikikamilika 2030 au mradi wa JNHPP au daraja la busisi likiisha , Nani atakuwa amekamilisha? Magufuli au Samiah. Tumtendee haki Mama wa watu. Aliyeanzisha na kukamilisha wapewe pongezi.

Hilo daraja la busisi linajengwa usiku kucha , halfu liishe tuseme mama hakushiriki it will not be fair. Tuache fanatism kwenye ukweli.
Ni kweli. Mama anapambana sana kuona hii miradi inakamilika. Ila kutoona kazi ya mtangulizi wake nayo pia ni dhihaka.
Kuna awamu nyingine watu walikuwa busy kulamba asali. Maendeleo kidogo tu. Tusisahau hilo pia. Watanzania wa leo sio wa juzi
 
Tukikaribia 2025 utaanza kutambua na kufahamu marehemu aliko.
Kwa sasa Bado ni mapema kidogo.

Hata juzi marehemu alihamia kariakoo!!!

Alikuwepo hai akawa analima risasi viongozi wetu wa CHADEMA kwa uoga wa kupingwa challenge, Sasa Leo akiwa Marehemu analipi jipya. Aje aendeleze wizi wa kura na kujaza vilaza bungeni?.
 
Alikuwepo hai akawa analima risasi viongozi wetu wa CHADEMA kwa uoga wa kupingwa challenge, Sasa Leo akiwa Marehemu analipi jipya. Aje aendeleze wizi wa kura na kujaza vilaza bungeni?.
Mzima leo ni marehemu kesho umesahau mkuu?
 

Attachments

  • BEBC2EE2-AAB9-4B17-B77C-8B202A1E45AD.jpeg
    BEBC2EE2-AAB9-4B17-B77C-8B202A1E45AD.jpeg
    42.5 KB · Views: 1
Wanamwogopa marehemu wapumbavu sana hao
Pia wamejaa uchungu wa yule mzoga wao wa majuzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tofautisha kuogopwa na kudharauliwa Wangekuwa wanamuogopa wangemtaja hata kidogo , Sasa kwa sababu wanamdharau wamechukulia poa. Hadi chawa mrisho mpoto kamsahau mwendazake unadhani mchezo.
 
Ni kweli. Mama anapambana sana kuona hii miradi inakamilika. Ila kutoona kazi ya mtangulizi wake nayo pia ni dhihaka.
Kuna awamu nyingine watu walikuwa busy kulamba asali. Maendeleo kidogo tu. Tusisahau hilo pia. Watanzania wa leo sio wa juzi

Hili ndio jibu sahihi. Mtangulizi apewe heshima yake na mkamilishaji pia. Nadhani Hilo waliweke sawa huko mbeleni.
 
Back
Top Bottom