peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
JK alifanya nini ? Taja miradi yakeWacha wamfukie tu, mbona yeye alikuwa anajitapa kuwa ndiyo amefanya kila kitu kwa Tanzania. Na alikuwa anawaponda live akina Kikwete na Mkapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JK alifanya nini ? Taja miradi yakeWacha wamfukie tu, mbona yeye alikuwa anajitapa kuwa ndiyo amefanya kila kitu kwa Tanzania. Na alikuwa anawaponda live akina Kikwete na Mkapa
Hiyo SGR inaanza lini!!??
Hizo asilimia 2 hazijamalizika bado!!??
Kama ccm hawakumpenda JPM je ni nani mzuri wa Hawa watu???
Ninahisi utawala wa Yule bhana ulikuwa hauitajiki ndani ya ccm na kuna kila dalili alipotezwa ili kundi jingine liingie!!!
Kwa ikulu ya Dodoma,Chamwino,wakumkumbuka ni Mwalimu Nyerere,alichimba mitaro ya kupeleka maji Chamwino,kwa kushika sururu,na kazi nyingine za ujenzi,aliweka kambi si chini ya miezi mitatu,hapo Chamwino.
Ila kipind kile kulikua na maigizo asee 🤣🤣🤣🤣Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Alijenga mabembea ulaya.JK alifanya nini ? Taja miradi yake
Hapo ndipo alikokosea na chama ulichokitaja nacho kikamfanyizia kweli 😭Mimi nilimshanga Sana Magufuli alivyojiamini CCM, kiasi Cha kuona vyama vingine ni maadui.
🤣F*ck the system.
Mi hata siyajui. Embu yaleteMliosoma Cuba kazi kwenu.
Majina Yale yanalengo gani
JK, both Mamba , yule muuzaji wa meno ya tembo hawata tuacha salama tukizubaa 2025Alijenga mabembea ulaya.
Hiyo ndiyo legasi ya CHEKIBOBU KIKWETE.
JK alifanya nini ? Taja miradi yake
tukisema chadema ni watovu wa nidhamu mnatuona wabaya
Dharau unaileta wewe bila kuitajaHakuna Rais aliyekuwa hana miradi. Tuache dharau.
Mkuu, african politics ni za kijinga sana.[emoji1787]
Kwani hizo tempo wewe zimekusaidia nini tangu uzaliwe?JK, both Mamba , yule muuzaji wa meno ya tembo hawata tuacha salama tukizubaa 2025
Tofauti na like shetani la kihutuMh Samia Suluhu alizaliwa na utu na kajawa na busara sana.
Nitajie miradi ya JK unayoifahamu tofauti na kuzurura duniani.