Rais Samia azindua rasmi Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma
Kama ccm hawakumpenda JPM je ni nani mzuri wa Hawa watu???

Ninahisi utawala wa Yule bhana ulikuwa hauitajiki ndani ya ccm na kuna kila dalili alipotezwa ili kundi jingine liingie!!!

Mimi nilimshanga Sana Magufuli alivyojiamini CCM, kiasi Cha kuona vyama vingine ni maadui.
 
Kwa ikulu ya Dodoma,Chamwino,wakumkumbuka ni Mwalimu Nyerere,alichimba mitaro ya kupeleka maji Chamwino,kwa kushika sururu,na kazi nyingine za ujenzi,aliweka kambi si chini ya miezi mitatu,hapo Chamwino.

Umeongea kweli. Na ndiye mwenye wazo la kupeleka ikulu Dodoma.
 
Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana

View attachment 2628625

Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !

Hii maana yake nini ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ila kipind kile kulikua na maigizo asee 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom