cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Nani alibadili jina uwanja wa mpira wa na kuita jina la MkapaHata marehemu naye alikuwa mgumu kutambua michango na juhudi za waliomtangulia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alibadili jina uwanja wa mpira wa na kuita jina la MkapaHata marehemu naye alikuwa mgumu kutambua michango na juhudi za waliomtangulia!
Msingempa tuzo feki ni nyietunamzungumzia shujaa feki kutokua acknowledged
Ata shujaa Membe hajakumbukwa walau kwa dakika moja!tunamzungumzia shujaa feki kutokua acknowledged
Tukikaribia 2025 utaanza kutambua na kufahamu marehemu aliko.Wanamtaka Marehemu wamfanyeje?. Marehemu yupo chato waende kule kumsabahi.
Wanamwogopa marehemu wapumbavu sana haoHaya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hahahaha CCM hawwachiani maji mezani hahahahaha
Hapo ndio utachoka kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]Ila msilolijua kifo cha Yule bhana kimeligawa Taifa 3/4 .
Na kuna mama mmoja anaweka picha na mabangokila kona ya nchi watu hawayataki wanamtaka marehemu.
Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kabla ya kifo cha JPM walikuwa wanasema aliko JPM nasi tupo.
Muda mfupi baadaye wanasema aliko mama na sisi tupo.
Kweshokutwa tukiweka Mbuzi hapo watasema aliko Mbuzi na sisi tuko.
Jiulizeni Hawa watu ni wa namna gani? Wanaishije? Wanalipwaje? Wana uchunguzi na nani? Wana Matarajio gani kimaisha? Wanasali dini gani ? Malengo yao ni Yapi? Wakiiba fedha wanapeleka wapi?
Msaidizi wake alikuwa Samia!
Na sasa Samia anakamilisha kazi!
Naona mnataka fito zote za ujenzi wa nyumba yetu apewe mtu mmoja, alikuwa na mikono mingapi?.
Samia anahangaika usiku na mchana kuzunguuka duniani kutafuta fedha kukamilisha miradi halafu wewe unakuja kusema ni ya Jiwe peke yake?, Mbona hakuimalizia sasa?
KUMUUZA Maza 2025 upande wa bara Hata ukigawia watu $ ya USA hawaelewi.Wanamwogopa marehemu wapumbavu sana hao
Uliko uishi maisha marefu🙏Propagandists hao wanakusanyika popote penye sega la asali.
Hata asali ikidondokea kwenye mavi watahamia hapo kuipigia chapuo.
Machadema kweli ni nyumbu. [emoji1787]Samia anahangaika usiku na mchana kuzunguuka duniani kutafuta fedha
Sasa umekuwa Mr wake au!!!Msaidizi wake alikuwa Samia!
Na sasa Samia anakamilisha kazi!
Naona mnataka fito zote za ujenzi wa nyumba yetu apewe mtu mmoja, alikuwa na mikono mingapi?.
Samia anahangaika usiku na mchana kuzunguuka duniani kutafuta fedha kukamilisha miradi halafu wewe unakuja kusema ni ya Jiwe peke yake?, Mbona hakuimalizia sasa?
Wacha wamfukie tu, mbona yeye alikuwa anajitapa kuwa ndiyo amefanya kila kitu kwa Tanzania. Na alikuwa anawaponda live akina Kikwete na MkapaHaya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
😁😁😁😁Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app