Rais Samia azindua rasmi Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma
Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana

View attachment 2628625

Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !

Hii maana yake nini ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Acha wapambane wenyewe. Dhambi ya ubaguzi mbaya Sana. Walianza kwa kuibagua CHADEMA, leo wanabaguana wenyewe.
 
Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana

View attachment 2628625

Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !

Hii maana yake nini ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kwa ikulu ya Dodoma,Chamwino,wakumkumbuka ni Mwalimu Nyerere,alichimba mitaro ya kupeleka maji Chamwino,kwa kushika sururu,na kazi nyingine za ujenzi,aliweka kambi si chini ya miezi mitatu,hapo Chamwino.
 
Ila wananchi wa kawaida watamtaja tu kwa kila mradi aliouanzisha
Screenshot_20230520-134516_1.jpg
 
Hata Mrisho Mpoto Mnafiki sana nimemsikiliza kwenye hizo kelele zake anazopigaga Kila mara kawasifia Mwinyi Mkapa Na Kikwete sijui kwakuwa aliwaona wamekaa pale... huku Makufuli..kamsifia kidogo sana wakati jiwe alifanya maamuzi magumu mama kawaumbua Maana kamsifia ....Mrisho Mpoto Acha unafiki [emoji3166]
Haya yote kayataka Magufuli, alipoanza kuwasema Wenzake waliotangulia kuwa hawajafanya kitu. Ngoja naye wamuoneshe utamu.
 
Hata Mrisho Mpoto Mnafiki sana nimemsikiliza kwenye hizo kelele zake anazopigaga Kila mara kawasifia Mwinyi Mkapa Na Kikwete sijui kwakuwa aliwaona wamekaa pale... huku Makufuli..kamsifia kidogo sana wakati jiwe alifanya maamuzi magumu mama kawaumbua Maana kamsifia ....Mrisho Mpoto Acha unafiki [emoji3166]
Kumbe Mkapa naye alikuwepo kwenye uzinduzi! Sijui mzee wa legacy ameshindwa vipi kutokea🤣
 
Hata Mrisho Mpoto Mnafiki sana nimemsikiliza kwenye hizo kelele zake anazopigaga Kila mara kawasifia Mwinyi Mkapa Na Kikwete sijui kwakuwa aliwaona wamekaa pale... huku Makufuli..kamsifia kidogo sana wakati jiwe alifanya maamuzi magumu mama kawaumbua Maana kamsifia ....Mrisho Mpoto Acha unafiki [emoji3166]
Na Mkapa alikuwepo?
 
Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana

View attachment 2628625

Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !

Hii maana yake nini ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Yule mwamba hawaamini kama hayupo duniani,bado wanasuguana na kivuli chake,

Mwingine anasema aliwatuma ramani kualar lamper. ,lakini kakaa miaka kumi ikulu akisafiri kama Vasco da Gama, nae anajiingiza kwenye ushiriki,hakika watu wa pwani ni wanafiki sana
 
Haya yote kayataka Magufuli, alipoanza kuwasema Wenzake waliotangulia kuwa hawajafanya kitu. Ngoja naye wamuoneshe utamu.
Nitajie miradi ya JK unayoifahamu tofauti na kuzurura duniani.

Hata daraja la jimboni kwake lilimshinda kubuni, kutengeneza. DARAJA LA WAMI👇
 

Attachments

  • B800A54E-BEA7-45F6-AFF5-E61384CA1029.jpeg
    B800A54E-BEA7-45F6-AFF5-E61384CA1029.jpeg
    334.3 KB · Views: 2
Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana

View attachment 2628625

Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !

Hii maana yake nini ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Giza halina uwezo kuzima mwanga ila mwanga una uwezo kuondosha giza. Hilo ndio jibu rahisi tu kuelewa nini maana yake.

Mtu mwaminifu hashuku kusingiziwa uharifu ila mhalifu (mwizi) wazo lake la haraka ni kuhisi anazibiwa fursa ya kupata isivyo halali hivyo huhisi mtu fulani akimtaja atamharibia hivyo anaamua kuacha kumtaja ili mipango yake isitibuliwe; ndicho kilichotokea pale kwenye kusanyiko la walamba asalai Ikulu isiyokuwa yao.
 
Haya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana

View attachment 2628625

Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !

Hii maana yake nini ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Maana yake ni simple tu. Magufuli alikuwa na shari nyingi kuliko heri basi.
 
Yule mwamba hawaamini kama hayupo duniani,bado wanasuguana na kivuli chake,

Mwingine anasema aliwatuma ramani kualar lamper,lakini kaka miaka kumi akisafiri kama Vasco da Gama,na anajiingiza kwenye ushiriki,hakika watu wa pwani ni wanafiki sana
Mlisema Magu alipo na nyie mpo. Sasa mbona hamjaenda Chato kuzikwa naye?
 
Back
Top Bottom