Rais Samia azindua rasmi Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma
Uthubutu mkubwa ulifanyika, na kutahitajika uthubutu mkubwa wa kauli. Haijalishi kutakuwa na mchujo wa kauli leo na siajabu tukawaona na kuwasikia wengine kwa kutowasikia.
 
Lini tutazindua vya kwake huyu mama?
Huo pia mi mradi wake,wakati unaanzishwa,yeye ni makamo wa Rais.Na mradi huu ulianzishwa na Mwalimu Nyerere.
Wapumzike kwa amani wale wote walioshiriki katika ujenzi huu wa Ikulu mpya wakiongozwa na JPM. Vijana wa JKT wanaelewa namaanisha nini hapa.
Mkumbuke na Mwalimu Nyerere,ndio mwanzilishi.
 
"vile prezidaa mama Samia angalii nayoo anaisikia sauti ya papa Magufuli inatomboka mumasikio yake nilitaka kutoka machozi juu vile Magufuli alivyokua akipenda inchi yake"
👆
hayo maneno ya raia mmoja wa Congo nikipiga nae story za bongo na Congo kwa pamoja nilipoenda North Kivu.
 
Kodi za masikini zinateketezwa vibaya mno huko Chamwino, Dodoma kwenye hafla ya uzinduzi. Nipo nashuhudia hapa TBC1. Meza zimetaradadi vyupa vya mvinyo na vinywaji kedekede huku midomo ya wahudhuriaji ikiwa bize kuchakata korosho na bites mbalimbali.
 
Pongezi nyingi kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kikamilifu ujenzi na hatimaye kukamilika na Leo Ikulu yetu inaanza kutumiwa Rasmi.

Pongezi nyingi kwa Hayati John Pombe Magufuli kwa jitihada kubwa alizo zifanya, Japo alibezwa lakini Leo hii yametimia.
r.i.p JPM
 
Pongezi nyingi kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kikamilifu ujenzi na hatimaye kukamilika na Leo Ikulu yetu inaanza kutumiwa Rasmi.

Pongezi nyingi kwa Hayati John Pombe Magufuli kwa jitihada kubwa alizo zifanya, Japo alibezwa lakini Leo hii yametimia.
r.i.p JPM
 
Back
Top Bottom