Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Magu alisema watangulizi wake hawajafanya kitu na sisi tunasema Magu hajafanya kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So sadi pigo lingine kwa Jilala na countrywidekwahio wanazika au wanasafirisha? Shujaa wa CCM hahahaha hajatajwa hata kwa sentence moja
Kila mtangulizi hajafanya kitu🤣Magu alisema watangulizi wake hawajafanya kitu na sisi tunasema Magu hajafanya kitu
Lucas mwashambwa anacheza na beatSo sadi pigo lingine kwa Jilala na countrywide
Acha mapepe.CCM kwa motoooo haya sasa kazi kwenu sukuma gang, jipangeni upya kuwakabili akina Samia
MaCCM ni majitu ya ajabu sana, hasa haya machawa yaliyotapakaa kila mahali ktk nchi hiiHaya mambo ya ccm hapa yalipofikia ni patamu sana
View attachment 2628625
Yaani Wote hawakutambua chochote kuhusu Magufuli kwenye ujenzi wa Ikulu ya DODOMA , ila mwishoooni Kwenye hitimisho Rais Samia ndio kafurukuta kumtaja , japo kwa taabu !
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
tunamzungumzia shujaa feki kutokua acknowledgedtukisema chadema ni watovu wa nidhamu mnatuona wabaya
relax relax hahahahaAcha mapepe.
dawa yenu inachemkatunamzungumzia shujaa feki kutokua acknowledged
Kaka angu Mrisho ni mtu wa kutembea na upepo, kama bendera! Nadhani kuna teuzi anaifukuzia ngoja tusubiri muda utaongea.Hata Mrisho Mpoto Mnafiki sana nimemsikiliza kwenye hizo kelele zake anazopigaga Kila mara kawasifia Mwinyi Mkapa Na Kikwete sijui kwakuwa aliwaona wamekaa pale... huku Makufuli..kamsifia kidogo sana wakati jiwe alifanya maamuzi magumu mama kawaumbua Maana kamsifia ....Mrisho Mpoto Acha unafiki [emoji3166]
kunyweni kwanza ya kwenu na Shujaa feki wenu, tulisema sisi, haya sasa kiko wapi? Pumbavu kabisa, ccm ina wenyewe, wenyewe ndio hao sasadawa yenu inachemka