Rais Samia bado anapotoshwa, hajapata washauri wenye weledi

Rais Samia bado anapotoshwa, hajapata washauri wenye weledi

Nilikuwa nimemwani sana mama SSH lakini kwa sasa naona mwelekeo wake sio mzuri kabisa!
Nahisi kuna washauri wake wanataka 2025 asiwe na sifa kabisa za kuwania kiti cha Uraisi!
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500. Wakati 80% Ya watanzania wapo kwenye kilimo!!

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Masharti ya mnaowaita Mabeberu unajipangiaje sasa
 
washauri wenyewe ndio hawa akina simbachawene[emoji24][emoji24][emoji24]

kama taifa tushajichanganya.
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500. Wakati 80% Ya watanzania wapo kwenye kilimo!!

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Akishindwa atasingizia jinsia yake.
 
Wanao mshauri wanajua kwamba wana mpotosha.

Hao ni kina Mwigulu. Rais wa kwenye mawe. Nae anautaka urais. Hivyo Mama akiboronga ni credit kwa wataka urais.

Mama yeye bado haja soma hiyooo...
kama umeusoma huo mchezo basi pia kausoma kuwa kuna wamendeaji hiyo ni kawaida tangu zamani hata kabla ya zama za Gaius Julius caesar... rafiki wa karibu huwa ndio adui wa karibu haiepukiki akili ni kuwa na utulivu katika kupambana nao ukikurupuka yanakukuta ...nukuu :beware of those who claim to have no interest in power or this is often astrategy to disarm you when the time comes they will strike without hesitation and it will be too late to act
 
Wanao mshauri wanajua kwamba wana mpotosha.

Hao ni kina Mwigulu. Rais wa kwenye mawe. Nae anautaka urais. Hivyo Mama akiboronga ni credit kwa wataka urais.

Mama yeye bado haja soma hiyooo...
Ni akina Mpango.

Alipomchagua Mpango alidai anafanya hivyo ili asaidie kwenye uchumi. Inaonyesha kuwa Mpango so Mchumi mahili pamoja na kufanya kazi World Bank.
 
Tatizo ni CCM, wanataka wapate pa kusemea kwenye uchaguzi maana muda si rafiki sana kwao, tayari timu Maza washaanza vibwagizo majukwaani, wengine wanaomba hadi kazi ya ukapeni meneja....nchi inaingia kwenye matatizo makubwa sababu ya hizi awamu awamu za CCM na makundi yao ya ushindi.
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500. Wakati 80% Ya watanzania wapo kwenye kilimo!!

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Ni rahisi kuongea ila naamini unakuwa bila shaka utaona usahihi wa alichofanya Mhe. Rais. Katika hili hana baya.
 
Raisi SSH haijui Tanzania ( jeneral twaha ulimwengu)
Hajapita kwenye amatanuru ya kisiasa ya nchi hii kawa naibu wazir, wazir VP na President.
Usitegemee cha maana hapo
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500. Wakati 80% Ya watanzania wapo kwenye kilimo!!

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
'There not serious, we need a Nation economic structure, which can not be tempered by politicians .' hapo nisawa na kuishi kwakukopa yule ambaye anakudai sana unakopa na kumlipa',kulipa madeni ya ndani ndiyo kiwe kipaumbele cha serikali ni njia mojawapo ya kuchochea uchumi
 
Wataalamu gani hao! wewe nae ndio wale wale
Ndege siyo maembe, kwamba unaenda na pesa CASH sokoni kununua.

Samia yuko madarakani kwa miezi 6 tu mpaka sasa, kwahiyo unadhani hizo dege zimeaagizwa jana ??
 
Baada ya Rais Magufuli kufariki, Tanzania tumepoteza mwelekeo tulitegemea mama atakuwa kiongozi ila nimeshangaa nae kawa mwanasiasa anafanya maamuzi kufikiria uchaguzi wa 2025.
Hili linashangaza kwa kweli!
 
Nani kakwambia Mimi Niko wapi? Kwamba kumukosoa Rais lazima use upande Fulani?

We Ni jinga kabisa
Wewe ni tahira umshauri nani?? Ulitangaza kuacha siasa za CDM humu JF, ila kwa sababu unatabia za kigasho huna misimamo umerudi na unafiki wako, nyambaf
 
Back
Top Bottom