Rais Samia bado anapotoshwa, hajapata washauri wenye weledi

Rais Samia bado anapotoshwa, hajapata washauri wenye weledi

What if mkopo una specific items ambazo wanataka utekelezeje ndio wanakopesha?..

Otherwise.,uko sahihi
 
What if mkopo una specific items ambazo wanataka utekelezeje ndio wanakopesha?..

Otherwise.,uko sahihi
Mkopo wa kupangiwa matumizi huo sio mkopo

mkopo unatakiwa kwenda wewe uombe si una resources za kuweka dhamana?

sasa Kama umeaminiwa utalipa why upangiwe matumizi?
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500.

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Kama huo mkopo unaouzingumzia ni huu wa sh. 1.3 trilioni basi hujui lolote na bora ungekaa kimya.

Kumbuka malengo ya mkopo huu ni mampamba kwa mujibu wa wakopeshaji ni kupambana na ugonjwa wa korona (afya) na si kufanya miradi ya kimkakati kama unavyotaka wewe.

Kilichofanywa na serikali ni "kujiongeza" kwa maana badala ya kuzitumia kwenye afya peke yake ikaamua kutumia kwenye huduma nyingine za kijamii yaani elimu na maji. Kifupi ni kwamba serikali imeweza kuishawishi Benki ya Dunia kwa hoja kwamba kuboresha huduma za maji na miundombinu kwenye sekta ya elimu ni namna nyingine ya kupambana na korona.

Sasa jiulize unnawezaje kupambana na korona kwa kuboresha barabara na kukenga bwawa labumeme?
 
Mkopo wa kupangiwa matumizi huo sio mkopo

mkopo unatakiwa kwenda wewe uombe si una resources za kuweka dhamana?

sasa Kama umeaminiwa utalipa why upangiwe matumizi?
Hapo ndio sina hakika...

Haya mambo hadi uwe na taarifa then u can judge..
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500.

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Kama huo mkopo unaouzungumzia ni huu wa sh. 1.3 trilioni basi hujui lolote na bora ungekaa kimya tu.

Kumbuka malengo ya mkopo huu kwa mujibu wa wakopeshaji ni kupambana na ugonjwa wa korona (huduma ya afya) na si kufanya miradi ya kimkakati kama unavyotaka wewe.

Kilichofanywa na serikali ni "kujiongeza" kwa maana badala ya kuzitumia pesa hizi kwenye afya peke yake ikaamua kutumia kwenye huduma nyingine za kijamii yaani elimu na maji. Kiufupi ni kwamba serikali imeweza kuishawishi Benki ya Dunia kwa hoja kwamba kuboresha huduma za maji na miundombinu kwenye sekta ya elimu ni namna nyingine ya kupambana na korona.

Sasa jiulize unawezaje kupambana na korona kwa kuboresha barabara au kujenga bwawa la umeme?
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500. Wakati 80% Ya watanzania wapo kwenye kilimo!!

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Soma vzr economics baba , mabeberu hawabahatishi wanapotaka lao, umembana kweli kweli amebaki kuongea ongea mambo mepesi
 
watalaamu hao hao waliweka tozo kubwa ya simu,ikapita mbaka bungeni. tukalalamika wakapunguza
Nawaza sipati jibu, kuhusu matumizi ya Tozo za miamala ya simu na benki yaliyolengwa kuborisha huduma za elimu, afya na barabara za vijijini, iwapo mkopo wa UVIKO-19 umeelekezwa huko pia!!

Ije 2025 vijijini bado hali ya huduma hizo itakuwa bado ni kama ya jana, TITAELEWANA
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500. Wakati 80% Ya watanzania wapo kwenye kilimo!!

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Kwani timu gaidi wanasemaje? Ngoja wafunguliwe Ufipa.
 
Kwahiyo wewe ndio unajua kuliko wataalamu wote serikalini ????

Wabongo bana.

Sio kuwa anajua kuliko hao washauri wa Rais bali ni akili ya kawaida tu kuwa kununua ndege nyingine mpya wakati hizo zilizopo hazitumiki kwa kupata faida kwani hazina routes na fierce competition kwenye Aviation industry ni kukosa weledi ambao unawazidishia wananchi machungu ya kutozwa kodi nyingi kufidia hasara zitokanazo na ATCL kujiendesha kizembe!
Viongozi wasome ushauri unaotolewa bure na wananchi kwenye mitandaoni ya jamii na kufanyia kazi ushauri wa busara wanaopewa bure!
 
Tanzania haijawahi kupoteza muelekeo hata siku moja. So far, Tanzania ni nchi iliyoko kwenye top ten ya nchi za kiafrika zenye uchumi mkubwa. Na katika top ten nchi nyingi uchumi wake uko backed na mafuta. Ukitoa mafuta, nchi zinazosimamia show zinabaki kuwa ni South Afika, Kenya, Ethiopia na Tanzania. Na kama unavyojua uchumi wa South uko backed na wazungu na pia kama unavyojua uchumi wa Ethiopia uko backed na huge population, nchi zinazobaki kwenye top ten ambazo zinasimama kwa miguu yake ni Tanzania na Kenya ndio zina GDP ya ukweli. Yani, small population with no oil but huge economies.
Tusipende kujidharau. Sisi ni taifa kubwa na lenye nguvu kiuchumi ndio maana hatuyumbi ovyo ovyo. So far, tuko vizuri kuliko nchi nyingi za kiafrika.
Hii haitusaidii kama hatutaweza kuendeleza uchumi wetu kwa mipango endelevu....
 
K
Huu utawala kuna watu watakunywa sumu ama kujinyonga kwa wivu...
FBbi_41XEAMIbSV
Kwa hiyo mwonekano was DAI la katiba mpya Kwa watanzania limesha Anza kuchakachuliwa na wanakijani, wanafiki na wapigania maslahi binafsi na SI watanzania watetezi halisi wa mahitaji ya watanzania wanao itaka katiba mupya kwa maslahi mapana ya taifa pendwa Tanzania.
 
Vyama vya siasa ni washauri wakuu wa serikali, regardless wana wabunge or la, na siku zote chama chenye wafuasi wengi huwa ni kiongozi wa vyama vingine, sasa chama chetu chenye wafuasi wengi ni ujinga ujinga tu, leo wamefanya press and hawajagusia jambo lolote linalowahusu wananchi moja kwa moja, wameongea mambo yao binafsi tu ya hovyo hovyo, mara hatutaki kuonana na msajili tunataka kuonana na Rais tu! Suala la tozo ni la kisiasa na limeshughulikiwa kisiasa, kama lilivyo suala la machinga, mamantilie, bodaboda, bei ya mazao na vitu kama hivyo!! Huyu hapa anatoa ushauri wa kitaalamu wa ndani kabisa bila kuwa na facts zozote!! Umeambiwa ni mkopo usio na riba wenye masharti nafuu, anashindwa kufikiria kwamba miongoni mwa hayo masharti ni kufanya hayo wanayofanya?
Kushauri chama kisichokuwa na akili nako ni kazi. Chama kinashauriwa tawala kwa haki bila ubaguzi, hakisikiii, kinashauriwa usitegemee TISS na Polisi kupata USHINDI, hakisikiii, kinaambiwa sanduku la kura liheshimiwe litoe VIONGOZI waliochaguliwa na wapiga kura, hakisikiii ndo kwanza kinaingiza mabegi ya kura bandia! Chama kisichokuwa na akili ni ngumu sana kushauriwa.
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500. Wakati 80% Ya watanzania wapo kwenye kilimo!!

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Human development. Kusomesha watu unaona ni jambo rahisi? Watoto wasome chini ya miti waathirike kisaikolojia? Afya za watu...? Ni mlolongo. Huu uzi ni mwepesi kumjadili Rais ama ufutwe au mlete hoja aiondoe kidemokrasia.😀😀
 
Mabavicha bhana!..

Kwa Magufuli mlikuwa mnasema anajiamulia tu kidikteta ila kwa mama anashauriwa vibaya!
 
Kama huo mkopo unaouzingumzia ni huu wa sh. 1.3 trilioni basi hujui lolote na bora ungekaa kimya.

Kumbuka malengo ya mkopo huu ni mampamba kwa mujibu wa wakopeshaji ni kupambana na ugonjwa wa korona (afya) na si kufanya miradi ya kimkakati kama unavyotaka wewe.

Kilichofanywa na serikali ni "kujiongeza" kwa maana badala ya kuzitumia kwenye afya peke yake ikaamua kutumia kwenye huduma nyingine za kijamii yaani elimu na maji. Kifupi ni kwamba serikali imeweza kuishawishi Benki ya Dunia kwa hoja kwamba kuboresha huduma za maji na miundombinu kwenye sekta ya elimu ni namna nyingine ya kupambana na korona.

Sasa jiulize unnawezaje kupambana na korona kwa kuboresha barabara na kukenga bwawa labumeme?
Kulikuwa hakuna ulazima wa kukopa ndio point yangu!!!

Kama wamepewa bure sawa lakini Kama Ni mkopo umepewa halafu utalipa halafu unapangiwa masharti Basi wewe ndio tatizo!!!
 
Wewe Ni moja ya wachumia tumbo hapa jf ulimtuka Sana Magufuli kununua ndege cash ukawa unasema Ni mwizi leo unatetea Tena Samia kununua ndege cash.

Una njaa ya tumbo umepewa chai wewe itakuwa!!
Na Wala sijabadilika bado msimamo wangu uko pale pale kuhusu Magufuli. Ila usinilazimishe nim criticize Rais SSH anapofanya mema. Siishi kwa kukariri kama wewe
 
Kulikuwa hakuna ulazima wa kukopa ndio point yangu!!!

Kama wamepewa bure sawa lakini Kama Ni mkopo umepewa halafu utalipa halafu unapangiwa masharti Basi wewe ndio tatizo!!!
Unachanganya mambo Mkuu! Hivi huoni kwenye mada yako umeshauri namna "sahihi" ya kutumia mkopo huo ni kujenga bwawa la umeme, barabara au SGR?

Lakini unadhani mkopo wa kutumia kwenye hiyo miradi unayoshauri unaweza kuwa wa "masharti nafuu" kama huu uliopatikana? Au unataka kutuambia mbali na miradi ya ujenzi wa miundombinu uliyoitaja nchi yetu haihitaji mikopo kwa ajili ya miradi kwenye sekta nyingine?
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500. Wakati 80% Ya watanzania wapo kwenye kilimo!!

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Unaposema hashauriwi vizuri una maana yeye mwenyewe hana uwezo hadi ategemee ushauri tu ?
 
Soma vzr economics baba , mabeberu hawabahatishi wanapotaka lao, umembana kweli kweli amebaki kuongea ongea mambo mep

Na Wala sijabadilika bado msimamo wangu uko pale pale kuhusu Magufuli. Ila usinilazimishe nim criticize Rais SSH anapofanya mema. Siishi kwa kukariri kama wewe
VIP kununua ndege cash unakubaliana naye?
 
Back
Top Bottom