Rais Samia bado anapotoshwa, hajapata washauri wenye weledi

Rais Samia bado anapotoshwa, hajapata washauri wenye weledi

Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500.

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Kwa hili ni sahihi ,wajirekebishe.
 
Baada ya Rais Magufuli kufariki, Tanzania tumepoteza mwelekeo tulitegemea mama atakuwa kiongozi ila nimeshangaa nae kawa mwanasiasa anafanya maamuzi kufikiria uchaguzi wa 2025.
Tanzania haijawahi kupoteza muelekeo hata siku moja. So far, Tanzania ni nchi iliyoko kwenye top ten ya nchi za kiafrika zenye uchumi mkubwa. Na katika top ten nchi nyingi uchumi wake uko backed na mafuta. Ukitoa mafuta, nchi zinazosimamia show zinabaki kuwa ni South Afika, Kenya, Ethiopia na Tanzania. Na kama unavyojua uchumi wa South uko backed na wazungu na pia kama unavyojua uchumi wa Ethiopia uko backed na huge population, nchi zinazobaki kwenye top ten ambazo zinasimama kwa miguu yake ni Tanzania na Kenya ndio zina GDP ya ukweli. Yani, small population with no oil but huge economies.
Tusipende kujidharau. Sisi ni taifa kubwa na lenye nguvu kiuchumi ndio maana hatuyumbi ovyo ovyo. So far, tuko vizuri kuliko nchi nyingi za kiafrika.
 
Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?

Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.

Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?

Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.

Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?

Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.

Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500.

Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Hicho kiwango cha mkopo tungeweza kuraise hiyo hela wenyewe. Rais ameshindwa kuepa blackmail na vitisho vya ubeberu ili kuingiza nchi deni. Yaani ni kuhakikisha nchi ziko tegemezi. Hilo kwa mabeberu wa magharibi ni muhimu kuliko wengi tunavyoelewa. Lingine ni kutununulisha mahitaji toka ubeberuni ambayo wala siyo mahitaji ya lazima kwetu, ila kwa hila tumeaminishwa ni mahitaji ya lazima
 
Mimi mwenyewe nimeshangaa kwa kweli,maana zile tozo tuliambiwa zinaenda kugharimikia huduma za kijamii.

Hii trilion 1 na ushee nayo tunaambiwa inaenda huko huko sasa huko si kujipumbaza akili zako mwenyewe.

Kama Magu aliifungua barabara ya morogoro kuanzia kimara hadi kibaha kwa nini hii pesa ya IMF isingepelekwa kutanua barabara ya kusini maana kule nako kuna utitiri wa viwanda na malori na barabara ni nyembamba mno.
 
Hawa ni wajinga sana, wanashindwa kushauri chama chao huko wapo busy kumshauri Samia ambaye kazungukwa na wabobezi wa kila kona, eti leo hii Samia achukue ushauri wa vilaza kama hawa ambao wenyewe mambo yao yameparagakanya kila kona
Wewe ndiye kilaza takataka unaleta uvyama kwenye Mambo ya kitaifa isitoshe kusema wewe Ni mpumbavu kabisa
 
Tanzania haijawahi kupoteza muelekeo hata siku moja. So far, Tanzania ni nchi iliyoko kwenye top ten ya nchi za kiafrika zenye uchumi mkubwa. Na katika top ten nchi nyingi uchumi wake uko backed na mafuta. Ukitoa mafuta, nchi zinazosimamia show zinabaki kuwa ni South Afika, Kenya, Ethiopia na Tanzania. Na kama unavyojua uchumi wa South uko backed na wazungu na pia kama unavyojua uchumi wa Ethiopia uko backed na huge population, nchi zinazobaki kwenye top ten ambazo zinasimama kwa miguu yake ni Tanzania na Kenya ndio zina GDP ya ukweli. Yani, small population with no oil but huge economies.
Tusipende kujidharau. Sisi ni taifa kubwa na lenye nguvu kiuchumi ndio maana hatuyumbi ovyo ovyo. So far, tuko vizuri kuliko nchi nyingi za kiafrika.
Well put Bemendazole, wakosoaji wanaugua ugonjwa wa ku criticise kila afanyacho Rais SSH bila kuwa na facts.

Ila atawashangaza sana namna atakavyokuza uchumi na ku transform nchi
 
Hivi unajua mkopo usio na riba na wenye masharti nafuu maana yake? Unadhani Kikwete alipenda kununua yale mavyandarua nchi nzima kutoka kwenye 700bil alizopewa na Bush kwa aina hii ya mkopo? Hayo masharti unayajua ni yapi waliwekewa ili wapewe huo mkopo? Umewahi kukopa mikopo ya bank nafuu ya kujenga nyumba ambayo unalipa riba ndogo hata kwa miaka 30? Kajaribu kukopa huo mkopo uone hata utaweza kununua ka IST!! Acheni kuposti ujinga wenu hapa ili mradi tu ionekane mmeposti
Kama unapewa mashariti magumu kwanini ukope? Kukopa Kuna maana gani?

Wewe ndiye mjinga kukopa sio lazima sisi hatuna vita
 
Hayo ni mawazo yako binafsi naona ana muelekeo mzuri kiuchumi , kisiasa bado anayumba.
 
Tashauriwa na watu mil 60 wote? huyo atakuwa mtu au AI? Ndiyo maana kuna kuwa na wawakilishi wa watu, sasa kama hao wawakilishi wapo busy mahakamani na kesi za kipuuzipuuzi zinazoepukika then hilo siyo kosa la Samia
Wawakilishi Ni bunge lenu la ccm watupu si mlisema upinzani unakwamisha maendeleo? Halafu mnataka wao ndio wawashauri pumbavu nendeni mkashauriwe uo ujinga na wakina mwigulu mtaona matokeo yake !!
 
Well put Bemendazole, wakosoaji wanaugua ugonjwa wa ku criticise kila afanyacho Rais SSH bila kuwa na facts.

Ila atawashangaza sana namna atakavyokuza uchumi na ku transform nchi
Wewe Ni moja ya wachumia tumbo hapa jf ulimtuka Sana Magufuli kununua ndege cash ukawa unasema Ni mwizi leo unatetea Tena Samia kununua ndege cash.

Una njaa ya tumbo umepewa chai wewe itakuwa!!
 
Back
Top Bottom