pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Masharti ya mnaowaita Mabeberu unajipangiaje sasaRais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?
Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.
Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?
Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.
Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?
Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.
Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500. Wakati 80% Ya watanzania wapo kwenye kilimo!!
Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Akishindwa atasingizia jinsia yake.Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?
Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.
Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?
Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.
Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?
Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.
Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500. Wakati 80% Ya watanzania wapo kwenye kilimo!!
Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
kama umeusoma huo mchezo basi pia kausoma kuwa kuna wamendeaji hiyo ni kawaida tangu zamani hata kabla ya zama za Gaius Julius caesar... rafiki wa karibu huwa ndio adui wa karibu haiepukiki akili ni kuwa na utulivu katika kupambana nao ukikurupuka yanakukuta ...nukuu :beware of those who claim to have no interest in power or this is often astrategy to disarm you when the time comes they will strike without hesitation and it will be too late to actWanao mshauri wanajua kwamba wana mpotosha.
Hao ni kina Mwigulu. Rais wa kwenye mawe. Nae anautaka urais. Hivyo Mama akiboronga ni credit kwa wataka urais.
Mama yeye bado haja soma hiyooo...
Ni akina Mpango.Wanao mshauri wanajua kwamba wana mpotosha.
Hao ni kina Mwigulu. Rais wa kwenye mawe. Nae anautaka urais. Hivyo Mama akiboronga ni credit kwa wataka urais.
Mama yeye bado haja soma hiyooo...
Kwahiyo Mseven kafanikiwa kumchezea mungu ndio maana hadi sasa bado yupo tu madarakani?bora huyu anaangalia 2025,Jiwe yeye alikuwa ameweka mikakati ya kutawala milele. Mungu akasema usinichezee
Ni rahisi kuongea ila naamini unakuwa bila shaka utaona usahihi wa alichofanya Mhe. Rais. Katika hili hana baya.Rais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?
Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.
Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?
Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.
Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?
Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.
Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500. Wakati 80% Ya watanzania wapo kwenye kilimo!!
Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Kamfufue sasaKwahiyo Mseven kafanikiwa kumchezea mungu ndio maana hadi sasa bado yupo tu madarakani?
Huwezi kumpangia Mungu kaziKwahiyo Mseven kafanikiwa kumchezea mungu ndio maana hadi sasa bado yupo tu madarakani?
'There not serious, we need a Nation economic structure, which can not be tempered by politicians .' hapo nisawa na kuishi kwakukopa yule ambaye anakudai sana unakopa na kumlipa',kulipa madeni ya ndani ndiyo kiwe kipaumbele cha serikali ni njia mojawapo ya kuchochea uchumiRais bado ananua ndege cash wakati uchumi unapumlia mashine?
Rais anakopa kujenga madarasa ambayo hayalipi Kodi Wala kulipia mikopo.
Unakopa pesa ili kununua barakoa seriously pesa za kulipa huo mkopo zitatoka wapi?
Unatakiwa kukopa kutengeneza project kubwa kama SGR na Bwawa la umeme Rufiji na miradi ya barabara na maji ambayo italeta matokeo in long-run.
Project zote za Afya na elimu zilitakiwa kuwa funded na pesa za ndani Kama tuna uwezo wa kukusanya trion 1.8+ tunakwama wapi?
Nilitegemea pesa zote za covid19 zingeelekezwa kwenye Utalii, Kununua mazao yote ya wakulima walioanguka, Kuweka ruzuku kwenye mbolea ili wakulima walime Tena, Kuanzisha project za kilimo Cha umwagiliaji ili kuwa na uhakika wa chakula, Kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje na kufufua viwanda na biashara zilizokufa.
Imagine mfuko wa mbolea 50kg Ni laki moja wakati gunia la mahindi Ni elfu 30 halafu unaenda kulipia cash ndege billion 500. Wakati 80% Ya watanzania wapo kwenye kilimo!!
Mama Samia bado hashauriwi vizuri ama anajishauri vibaya wengi tuliaminishwa Magufuli hashauriki kumbe hata washauri hakuna Kuna watu wa kujikomba kwa watawala tu.
Wataalamu gani hao! wewe nae ndio wale waleKwahiyo wewe ndio unajua kuliko wataalamu wote serikalini ????
Wabongo bana.
Ndege siyo maembe, kwamba unaenda na pesa CASH sokoni kununua.Wataalamu gani hao! wewe nae ndio wale wale
Hili linashangaza kwa kweli!Baada ya Rais Magufuli kufariki, Tanzania tumepoteza mwelekeo tulitegemea mama atakuwa kiongozi ila nimeshangaa nae kawa mwanasiasa anafanya maamuzi kufikiria uchaguzi wa 2025.
Nani kakwambia Mimi Niko wapi? Kwamba kumukosoa Rais lazima use upande Fulani?Huko ulipo hamna mtu mwenye hadhi hata ya kufunga kamba ya viatu vya Mwigulu
Wewe ni tahira umshauri nani?? Ulitangaza kuacha siasa za CDM humu JF, ila kwa sababu unatabia za kigasho huna misimamo umerudi na unafiki wako, nyambafNani kakwambia Mimi Niko wapi? Kwamba kumukosoa Rais lazima use upande Fulani?
We Ni jinga kabisa