Rais Samia: Fedha ambazo zingegharamia Sherehe za miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, zigawanywe sawa

Kwanini wasiache kuzitenga hizo fedha wakati wa bajeti zielekezwe sekta zingine.
 
Kweli ndugu hawa watu wanachuki mbaya sana.miaka yote ilikuwa inatumika huku tu .kusema basi igawanywe kwao imekuwa nongwa.hawa wanaroho mbaya sana. Tupo tunaimani na mama Samia.
 
Huu upumbavu aliuanzisha Jiwe.
Wakati wanatenga hizo fedha walikuwa wamepungukiwa akili(vichaa)?
Ni vyema wangeifuta sherehe yenyewe isisomeke kwenye kalenda
Hii ni bajeti ya Mwaka 2020/2021 Ilishapitishwa kuwa kutakuwa na sherehe hizo. Mama kaamua kuondoa acha ujuaji
 
Kweli ndugu hawa watu wanachuki mbaya sana.miaka yote ilikuwa inatumika huku tu .kusema basi igawanywe kwao imekuwa nongwa.hawa wanaroho mbaya sana. Tupo tunaimani na mama Samia.

Mbona unapenda vya bure na vya kunyonga, upewe mgawo sawa kwani unachangia nini kwenye muungano?
 
huu mgawanyo haupo sawa, yaani watu milion 50+ dhidi ya watu laki 6+ ?

baada ya utawala huu nabet muungano utakua taabani maana wazanzibar watataka migao hii iendelee.
 
TRA haihusiki kabisa kule Zanzibar.

Zanzibar wanna taasisi yao ya kukusanya mapato
 
Znz ilichangia Tsh ngapi za kugharimia sherehe hizo hadi alazimishe zigawanywe sawa?
 
Hizo fedha kiasi gani? Na zinatokana na nini? Tunagawana sawa kwa vigezo gani? Kwà kuangalia idadi ya watu au ukubwa wa eneo?
 
Kwanini Tanganyika pamoja na udogo wa Zanzibar lakini ilikubali kuungana?? Kwanini mchonga meno hakuiunganisha Tanganyika na Algeria ama Nigeria nchi kubwa mwenzake??
Napata shaka juu ya Akili yako kama iko sawasawa. Rudia uandikacho
 
Na zile ambazo wao Zanzibar walizitenga nazo tutagawana sawa kwa sawa?
 

Hamna anayeangalia udogo kinachoangaliwa ni alichangia nini kwa ratio ya huo udogo wake na ndicho atakachostahiki siku kuna hitaji la kugawana. Hao watu 2M Zanzabar wanatoka wapi wakati wengi wako huku Tanganyika chungu cha asali kilipo?

Huu Muungano either Tanganyika nao wapate serikali yao ambapo serikali ya Muungano itakufa kifo cha hiari ama tuwe nchi moja na serikali moja. Kwa set up ya ulivyo muungano sasa hauna maisha marefu.
 
CHATO ya mama ni ZANZIBAR duh kifungu cha 37/5 kitatutesha sana mpk 2030
 
Kwani zimetoka upande gani?
 
Hii ni bajeti ya Mwaka 2020/2021 Ilishapitishwa kuwa kutakuwa na sherehe hizo. Mama kaamua kuondoa acha ujuaji
Hahaa kwaiyo CAG akija kusema zilitumika nje ya bajeti tusilalamike sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…