Kiashiri namba 1. Nikupatikana umeme wa uhakika kuna sahidia kukuza uzalishaji na awamu ya tano umeme ulikuwa ni ukakika.Awamu ya sita sasa kuingia tu madarakani mgao ukaanza kwa wimbo wa mitambo hakufanyiwa service,muda wa kiangazi cha kawaida ikawa mabwawa yamekauka hapo mitambo ilitengemaa[emoji23][emoji23][emoji23].Kiashiri na 2. Kumbuka mwaka 2017 Tanzania iliongoza kwa uchumu jumuishi according World bank.Kwa ulambaji wa asali huu na mgao huu wa umeme uchumi junuishi utatoka wapi na kwanini tusishuke mpaka uchumi wa natakoni[emoji3][emoji3]