Rais Samia hawezi Kumgusa Waziri Mwigulu Nchemba?

acha uchonganishi au unataka upewe wewe cheo hicho?watu mna roho mbaya sana
 
Mwigulu ana Waganga kutoka Gabon West Africa kawaweka hapo Dodoma, wale ni Blaaa tupu ndio wanaoumpumbaza Mama
 
Viongozi karibu wote wa awamu ya sita ni watu wenye maadili tata, ukijua undani wa tabia zao utatokwa na machozi
 
Mwigulu ndio TRA?
 
Mwigulu ndio TRA?
Use your gift of intellect ulopewa na Mungu, so that you will be capable to associate between TRA an Mwigulu.
Vinginevyo endelea kutia akili zako mfukoni.

To associate Idea ni level ndogo sana katika learning kuliko level ya kufanya Manipulation.

Kwahiyo kama huelewi nenda Facebook kacheze na watoto wenzako, uache kuchezea cm janja ya BABAKO.

Hapa ni mahali pa great thinker wenye uwezo wa KU DIGEST CONCRETE IDEAS, hutaki nenda REDIO Fm kuwasikiliza Mwijaku,Zembwela, Oscar Oscar, mada za hapa ni ngumu kuelewa ukiwa mtoto au una ubongo wa 5 MB .
Hopefully you understand DUDE 😎 😎 😎
 
Upuuzi tuu
 
Waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba vyao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…