Rais Samia hawezi Kumgusa Waziri Mwigulu Nchemba?


HAWA NDO WAMEMUWEKA MADARAKANI USIDHANI NI KITU RAHISI WEWE.
 
Narudia MAMA HANA UWEZO WA KUMFANYA CHOCHOTE KILE MWIGULU MCHEMBA, NAONGEZA NA NAPE NA MAKAMBA JR
"Mama akimaliza ziara ya Katavi atafanya mabadiliko ya baraza la mawaziri, ambapo Nape na Makamba wataondolewa".

Maneno haya siyo yangu, ni ya mwanaJF aliyetabiri utenguzi na uteuzi wa mkuu wa TISS
 
Anagusika vizuri tu labda anamuheshimu sana lakini pia kumbuka watu wanaokaaga vitengo nyeti serikalini huwa wana mkono wa top wa serikali, so hata wawe na mapungufu wanavumiliwa kwasababu za kimaslahi walizonazo baina yao. Huwezi kuchukua kitengo cha mwigulu hivihivi tu. Nadhani umenielewq
 
"Mama akimaliza ziara ya Katavi atafanya mabadiliko ya baraza la mawaziri, ambapo Nape na Makamba wataondolewa".

Maneno haya siyo yangu, ni ya mwanaJF aliyetabiri utenguzi na uteuzi wa mkuu wa TISS
Ikiwa hivyo itakuwa ushuhuda wa kuwa MWIGULU NI DUBWANA flani kubwa sana.

Akitengua inabidi awape ubalozi watoke TZ, vinginevyo atahujumiwa sana
 
Kama umeiba na mtu anajua Siri zako unaanzaje kumtoa
 
Shukrani mkuu kwa kujazia Nyama kwenye Uzi, ni kweliii Kuna combination of factors zinazo Fanya KIZIMKAZI amwogope MWIGULU, huenda tayari amekuwa Blackmailed, Kuna compromat 😎🤔🤔
 
You have a good point bro, lakini ukweli ubaki tunaongozwa na kilaza na dhaifu bila kusahau tapeli kwasasa. Tusipoamua 2025 tutakwisha zaid
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…