Rais Samia, hii kauli ya kuwaruhusu Mawaziri wajipimie, wasivimbiwe itolee ufafanuzi tena

Hivi unakumbuka Kikwete au mwinyi Kama sikosei aliwahi kulisema neno Hilo,na unajua Nini kilitokea baada ya hapo? Mh subiri matokeo ya hiyo kauli utaniambia.
 
Ndio maana mzunguko huwa ni uleule ili waendelee kutafuna! Hii nchi hovyo kabisa!
Wanasiasa hawapo kwa ajili ya maslahi ya wananchi bali wapo kwa maslahi ya kwao binafsi, mama namuelewa sana anajaribu kutuweka wazi ili tuelewe tabia za watawala wa kisiasa walivyo akiwamo na yeye maana kajiwekea wigo wa upigaji kwa kurudisha wezi madarakani.
 
Inasikitisha sana!
Means hakuna anayeweza kufanya lolote...What kind of mentality is this? Dola ina levya watu hivi?
Wana polisi, wana jeshi, usalama wa taifa. Huwezi kuiondoa CCM kwa kura za uchaguzi. Ingekuwa kura zinaondoa CCM ingekuwa chama pinzani miaka mingi
 
Mimi naona Mh.Raisi yuko sahihi.
Kosa ni kuitoa hii kauli kwa Wananch.
Ikulu wajitokeze haraka kusafisha hali ya hewa.
 
Je unadhani Watanzania wote ni la Saba C???
Miaka 60 hakuna maji wala umeme, huduma za afya ni kwa msaada wa wafadhili, barabara tumejengewa kwa msaada au mikopo, niliwahi sikia hata nyumba kuu pale Dom ni kwa msaada wa mchina.
Hata uwe na proposal nzuri kiasi gani au hata aje nayo mmarekani; bila ya 10% hakuna kigogo anayetia sahihi.
Kuna mtu aliwahi sema kuwa CCM ni sawa na ukoo wa panya.
Mama ametukumbusha ukweli kuwa ukiona mradi unasusua jua w
akubwa wajipimia zote.
 
Tena wale jamaa wa msoga kawapa wizara zenye kamba refu. Bure sana huyu mama. Utakaaje na mawaziri wamevimbiwa kwa upigaji. Kiapo cha urais sio mzaha. Haiwezekani kuendesha nchi kimzahamzaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…