Rais Samia huna nia njema na Wizara ya Nishati, haifiki kokote kwa teuzi za urafiki

Bei ya 27,000 ipo tangu 2014! Sasa kama JPM alikuwa Rais 2014 au hata waziri wa nishati, basi sawa... heshima ya kipekee kwake JPM kwa kushusha gharama za kuunganishiwa umeme vijijini hadi kufikia Sh. 27,000!
Hiyo ilikuwa baadhi ya vijiji tu lkn JPM aliona inafaa nchi nzima hata mijini, JPM anastahili pongezi sana.
 
Hiyo ilikuwa baadhi ya vijiji tu lkn JPM aliona inafaa nchi nzima hata mijini, JPM anastahili pongezi sana.
SIO KWELI!

Ingawaje ni kweli ilianza kwa Lindi na Mtwara lakini baadae ikawa Tanzania nzima hata kabla JPM hajaingia madarakani kama rais!
 
Waswahili husema kenge hasikii mpaka masikio yatoke dam hiyo ndo hali ya mama yetu .sijui aliena kitugani cha maana kwa akina makamba na huyu anayetaka faidai kwenye gharma za kuungqnisha nishati hakika ni aibu .tusubiri 2025

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh imeniuma Sana
 
Nilichokigundua kwenye andiko lako nikiwambia. Kwanza una uelewa mdogo sana wa mambo mbalimbali hapa duniani! Pili unachuki ya wazi kwa utawala ulipo. Tatu hujamsikiliza hata huyo chande mwenyewe.
 
Nilichokigundua kwenye andiko lako nikiwambia. Kwanza una uelewa mdogo sana wa mambo mbalimbali hapa duniani! Pili unachuki ya wazi kwa utawala ulipo. Tatu hujamsikiliza hata huyo chande mwenyewe.

La kwanza ni linajadilika la pili uko sahihi 100% !
 
Mkuu, ni kiwanda au viwanda gani hivyo.
Nadhani ukifichua wizi utakua umesaidia shirika na umesaidia nchi yetu.
TUPAZE SAUTI
Hii haina suluhu. Wanaotakiwa kudhibiti ndo wako kwenye mfumo wa kutoa umeme bure. Ni kama lile suala la wizi wa mafuta bandarini, umelisikia tena likisemwa?
 
Hii haina suluhu. Wanaotakiwa kudhibiti ndo wako kwenye mfumo wa kutoa umeme bure. Ni kama lile suala la wizi wa mafuta bandarini, umelisikia tena likisemwa?
Naona umekubali yaishe, liwalo na liwe, acha tuibiwe. Nadhani hiyo sio approach sahihi. Kama wananchi wote tukisalenda kwenye uvunjifu wa utaratibu, then taifa limekwisha na hatutakua na uhalali wa kunyoosheana vidole.
 
Naogopa sana mtu aliyefanya Kazi kwenye mashirika ya kimataifa mara nyingi hawana uchungu na zao muda wote wako kimkakati mfano February alifanya Kaz UNCHR
 
Aisee! Nashauri Afande Sirro ampe huyu Patriot ulinzi, kwa kauli hii yenye ukweli unaolenga kule majuu!
Kuna wakati nasoma msg za watu, napata hisia kwamba kuna watu wana mawazo mazuri kwa nchi. Tatizo ni viongozi wetu ambao wanaamini wanajua kuliko yeyote. Hatari tuliyonayo ni viongozi ambao hawana niya njema kwa nchi. Wanatumia mwanya huo kwa kiapo chao, kujidai wanatuongoza. Hii ni aibu. Mtu anaapishwa tu, cha kwanza anakumbuka bandari ya Bagamoyo. Wapi!

Binafsi hainiingii akili baada miaka yote ambayo Januari alikuwa waziri, udhaifu wake wote unaeleweka na hatutegemei ktk umri wake apate nafuu ya utendaji. Huyu ni mtu wa kubahatisha tu! Hataweza kuinuka.
 
Wewe mtoa nada una stress zako tu. Kuwa CEO hakuna cha ngwini Wala sayansi bali ni uwezo wa leadership tu.

Hata CEO akiwa PCM au electrical engineer hawezi kuacha umeme uendelee kuwaka wakati nguzo imedondoka.
 
Tizama bei ya shs 27,000 sio ya kisayansi ni bei ya ruzuku kwa wananchi waweze kuweka umeme majumbani
Hapo kwenye kuwaunganishia wateja wapya umeme "kisayansi", ndio bei yake inatakiwa kuwa 27,000 nchi nzima mkuu?
ya
 
Wewe mtoa nada una stress zako tu. Kuwa CEO hakuna cha ngwini Wala sayansi bali ni uwezo wa leadership tu.

Hata CEO akiwa PCM au electrical engineer hawezi kuacha umeme uendelee kuwaka wakati nguzo imedondoka.

Kwendeni kule. Mmeshapata chaka lenu la kupiga hela. 2025 si mbali. Hata mkikesha na mabakuli huko duniani kutafuta hela za uchaguzi. Wananchi wanaona.
 
Tatizo ni Uwaziri wa Januari sio utendaji wake...Waziri wa NISHATI anauwezo mkubwa sana na hakika tutarajie Mapinduzi makubwa katika NISHATI...Pia Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO ni mtu Bingwa sana katika utendaji Kazi wake. Shida Mnaopiga kelele mpokatika maelekezo yenu maalum lakini things are moving
 
Hakika umenikosha. Nafarijika kujua kuna watu wanafikiri exactly kama mimi. Kama unakumbuka pale mama akifuta shs 27000 kuunganisha umeme ndio utajua akili yao hawa watu. Mama alisema 'january waambie kama unaogopa, hakuna umeme wa shs 27000' wataonaje kuna umeme wa shs 27000 wakati wameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba. Anaondoa ma Phd wazalendo anaweka jamaa zake wenye ujuzi wa kula hela umma halafu maquini.
 
Makamba anatosha sana kuna mabadiliko makubwa ya uwepo wa umeme kwa sasa watu wanafanyakazi propaganda za kijinga zimekwisha.
 

Anatekeleza maelekezo kutoka Msoga. Sasa ni zamu ya wahuni kushika hatamu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…