Shezanempress
JF-Expert Member
- Dec 28, 2022
- 311
- 343
Kumbe hua ana comment, ana like, ana bishana na kukosoa kwenye ule uzi wa kimashihara.
Inabidi nianze kwenda PM randomly naweza kuangukia popote. mara pa Ultimate magogoni
Popoma pia apunguze zile nyuzi zake za watu wa KaweTuandike ya maana sasa, na Moderators muwe macho kuondoa matusi ya nguoni humu na watukanaji.
Nimemsikia pia, kumbe anatusoma. Sasa mama please wale wabunge 19 kwa nini katiba imevunjwa?
Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.
Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.
Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.
Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.
Atakua anatumia ID ipi hiyo!?
Mtu yeyote mwenye akili nzuri hawezi kudharau jamii forum !! Humu vipo vichwa kweri kweri ila na makapi yapo pia !! ππ kila mtu ni unique kwa namna yake !!Ameyaweka wazi hayo katika mkutano wa Bawacha katika siku ya mwanamke duniani.
Rais Samia akihutubia taifa kupitia mkutano huo amewaambia kuwa huwa anasoma maoni ya katiba mpya, wabunge wa Covid19 na mengineyo kuhusu Serikali yake kupitia mtandao maarufu wa JamiiForums.
My take:
Leo ndio nimejua kuwa kumbe Rais Samia nae ni mdau wa JamiiForums.
Hii imetuinua sana wana jukwaa hili.
Zipo comments atakuwa anazichukua na nyingine anajadiliana na washauri wake na nyingine huwa zinamchekesha tu kama tufanyavyo sisi pia humu jf πAlaaaah kwa hiyo anacheka tuu, alafu baada ya kucheka?
Huyu mhindi wa Bara,familia yake ipo kariakoo Tanganyika siku nyingi,namfahamu vizuri
Hakuna kapi linalozidi mokiti na mk254 humuMtu yeyote mwenye akili nzuri hawezi kudharau jamii forum !! Humu vipo vichwa kweri kweri ila na makapi yapo pia !! ππ kila mtu ni unique kwa namna yake !!
ππ mi naamini ni memba yumo humu,..si unajua JF tunatumia ID fake,..Hahahah anakaribishwa kuwa memba kabisa,asiogopeπ
πππAu sa100 ndio fauzafox??
πππKumbe naye anaficha ID kuogopa wafadhihina na Chawa wake wasimzodoe
πππau mnamuita sukuma GangπKwa kuwa anatumia jina bandia humu. Si ajabu kuna wakati huwa tunamzodoa humu kwa kumuita Chawa wa Mama - Kumbe ndio yeye original.