Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.

Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.


Kumbe mama huwa anawacheka tu chawa wake wanapo watuhumu wapinzani kuwa wamelamba asali.

Chawa mueleweni mama, muuozoee huu utamaduni wa kuzungumza.

Siasa sio uadui hata usizungumze na mpinzani wako.

Hii chawa wamepigwa kwa kisigino cha skuna.
 
Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.

Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.


Ndiyo maana tunasema JF kuna watu wazito humu.

JF inabidi wawape permanent BAN mashoga wanaijipigia debe humu.
 
Wale mliofunga pm zenu kwa upendo tu nawaambia msije mkapishana na teuzi za mama shauri yenu
 
Ameyaweka wazi hayo katika mkutano wa Bawacha katika siku ya mwanamke duniani.

Rais Samia akihutubia taifa kupitia mkutano huo amewaambia kuwa huwa anasoma maoni ya katiba mpya, wabunge wa Covid19 na mengineyo kuhusu Serikali yake kupitia mtandao maarufu wa JamiiForums.

My take:
Leo ndio nimejua kuwa kumbe Rais Samia nae ni mdau wa JamiiForums.

Hii imetuinua sana wana jukwaa hili.
Mtu yeyote mwenye akili nzuri hawezi kudharau jamii forum !! Humu vipo vichwa kweri kweri ila na makapi yapo pia !! 😂😂 kila mtu ni unique kwa namna yake !!
 
Back
Top Bottom