Agombee moja kwa moja zenj......ili aitumikie kiroho safi, kwa nini kuvutana na wadanganyika akina ndugai...hamna ushahidi kwenye hili................na hata kama ipo hivyo ni kwa vile tuu Magufuli alimteua kuwa makamu wake na Maraisi wote wamekuwa wakiiamarisha mambo ya kwao hata kwa uchache tukumbuke hata Chato ipo vile kwasababu gani na ni ndani ya miaka mi5 ya kwanza ......ilishapendeza ,mpeni kijiji basi huku bara abadilishe kabila na ubini...........
Anahamasisha upigaji uanze kwa kasi ya 5G.Yeye mwenyewe haipendi nchi yake
Ana ubinadamuUyu mama ni dhaifu sana kila siku ana uongelea u Raisi tu bogus kweli
Ni pamoja na kwasaidia wanapokabiliwa na changamoto za kimaisha, Kama vle wajane, walemavu na umasikiniNi nini kinasababisha mtu Anaoa wanawake watatu? Mwenye majibu tafadhali
Kweli maisha yamekupiga! Usitafute mchawi umasikini wako ni akili zako na tafsiri zako. Mpaka anaye kutawala unamuona dhaifu.Uyu mama ni dhaifu sana kila siku ana uongelea u Raisi tu bogus kweli
Rais Samia Suluhu Hassan amesema urais sio mtu ni taasisi lakini kikatiba kunakuwa na mtu pale juu. Amewaambia Mawaziri kuwa kama hawampendi Rais aliyepo basi wapende nchi yao
Amesema hata kama haumpendi Rais Samia isiwe kigezo cha kupuuza mambo yote ambayo serikali inafanya. Ameruhusu watu kumchukia lakini sio kuchukia mambo ya serikali
Amewataka kuheshimu viapo vyao kwa kuwa wameapa kwa kushika vitabu vya Imani zao
Wananchi wangapi wako nyuma yake? Research gani umefanyaMama chapa kazi,hao Ni wachache Sana,wananchi tuko nyuma yako,jogoo awike asiwike lazima kupambazuke.
Kwa Uzanzibari wake,kwa uislamu wake na Kwa kuwa na Mwanamke kawa Rais, nothing else.
🤣🤣🤣🤣☝️Mwaka huu hatuombei mtu.Naona anakoelekea atatuomba tumwombee.
Mama Samia mimi sina kamba kabisaaa fanya kunipimia bwana...🤣🤣🤣Huwezi kupenda nchi ambayo Rais wake fisadi anahamasisha ufisadi kwenye TV ya Taifa.
View attachment 2080079
Msikilize tena hapo mwishoni anapowaambia kuwa 'jipimieni' kwa lafudhi ya kizanzibari🤣🤣🤣Mama Samia mimi sina kamba kabisaaa fanya kunipimia bwana...🤣🤣🤣
Duh huu ushenzi kweli😅 kama hii ndio akili ya mama tumeishaHuwezi kupenda nchi ambayo Rais wake fisadi anahamasisha ufisadi kwenye TV ya Taifa.
View attachment 2080079
Mambo ya aibu kwenye Taifa langu Tanzania😑😑😑Duh huu ushenzi kweli😅 kama hii ndio akili ya mama tumeisha
naunga mkono hoja.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema urais sio mtu ni taasisi lakini kikatiba kunakuwa na mtu pale juu. Amewaambia Mawaziri kuwa kama hawampendi Rais aliyepo basi wapende nchi yao
Amesema hata kama haumpendi Rais Samia isiwe kigezo cha kupuuza mambo yote ambayo serikali inafanya. Ameruhusu watu kumchukia lakini sio kuchukia mambo ya serikali
Amewataka kuheshimu viapo vyao kwa kuwa wameapa kwa kushika vitabu vya Imani zao
Safi kabisa. Twasema hivi. Uchaguzi 2025 uwe huru na haki. Bi Tozo hapiti…Watu wanamchukia yeye kwasababu ya mambo ya serikali.
Watu wakipenda mambo ya serikali, “automatically” wanampenda na yeye. Wakumchukia hawawezi kukosekana. Lakini hawatakuwa wengi kama mambo ya serikali yanapendwa.
Hapa rais anaweza kuwa anazungumza kwa “codes” kwamba kuna watu wanamchukia yeye binafsi kwasababu ambazo hazihusiani na mwenendo wa serikali anayoiongoza. Sikubaliani naye. Maana ni yale yale ya kutumia “gender card” pamoja na uzanzibari.
Hata kigezo cha rais kutaka ama kuomba kuchaguliwa tena, kinapimwa na jinsi ambavyo serikali imefanya mambo yanayowagusa wananchi.