Rais Samia: Kama haumpendi Rais aliyeko, penda nchi yako

Agombee moja kwa moja zenj......ili aitumikie kiroho safi, kwa nini kuvutana na wadanganyika akina ndugai...
 
Uyu mama ni dhaifu sana kila siku ana uongelea u Raisi tu bogus kweli
Kweli maisha yamekupiga! Usitafute mchawi umasikini wako ni akili zako na tafsiri zako. Mpaka anaye kutawala unamuona dhaifu.
Lofa katika kiwango chako uyu vs huyu! Hilo ni tatizo la kutoenda shule kabisa.
 

Rais SSH jaribu pia uwapende Watanganyika wote.

Uwapende kama unavyopenda familia yako,unavyowapenda Wazanzibar. Utapendwa.

Chukua mikopo kwa weledi, kwa tahadhari.

Chapa kazi zaidi ya JPM, utapendwa na wengi. Acha kumtukana, kumdhalilisha kila siku kutumia watu wako.
 
Kwa Uzanzibari wake,kwa uislamu wake na Kwa kuwa na Mwanamke kawa Rais, nothing else.

Hizo ni sababu za kujihami tu, kufanikiwa kwa URAIS wake kutategemea jinsi atakavyotatua kero za wananchi!! So far wananchi wanalalamikia tozo; Kwani hizo tozo alizozileta kwenye miamala ya Simu, Magufuli alizozikataa ndio zinafanya Watu walalamike!

Nenda kakope lakini hiyo mikopo ilete nafuu kwa wananchi kwa kutolewa hizo tozo; sio mnakopa alafu bado mnawakamua wananchi kwa kuwaongezea tozo na makato mengine chungu nzima. Mikopo iwe kwa kuwapa wananchi nafuu ya maisha!!!

Mlisema mliweka hizo tozo ili kujenga madarasa hivyo kama hiyo ilikuwa Kweli tulitegemea baada ya kupata mkopo ule wa IMF na mkauelekeza kujenga madarasa basi zile tozo zingelisitishwa , unless mlikuwa mnawahadaa wananchi.!
 
Mama yetu is sensitive...anayoyasoma hasa huku mtandaoni, japo mengine ni mazuri na anayafanyia kazi lakini mengine yanamuumiza, wabongo tuwe na stara tunapo comment 😊😊😊😊🤭🤭🤭🤭
 
naunga mkono hoja.
 
Safi kabisa. Twasema hivi. Uchaguzi 2025 uwe huru na haki. Bi Tozo hapiti…
 
Haiwezekani kumtenganisha rais na urais katika hisia.

Kwa sasa yeye ndiye amevaa sura na umbo la taasisi ya urais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…