Kama kweli JM alitaka kiti cha AU, na ali-reason kwamba hakuna namna Raila anaenda shinda kiti hicho na kwamba Ruto hatuna maslahi naye, na hakusikilizwa, na kweli yametokea.
Raila kafail AU, Ruto ndio huyo anawakaribisha M23 Kenya, wayajenge.
Kama ni kweli, basi Samia umetukosea sana.