Rais Samia kaniangusha na kunisononesha sana ripoti ya CAG 2021-2022

Hapo pa kutaifisha mali zao ndo penyewe ukitaifisha kwa vigogo wa 5 hivi akili itaka sawa kwa wengine kinyume na hapo ujui amna kitu
 
Ripoti ya CAG sio hukumu ya Mahakama,ikithibitika hatua zitachukukiwa..

Kumbuka Rais Samia sio mtu wa mihemko,kukurupuka na ku loose temper kirahisi ,ukifanya hivyo anaweza umiza wengi.
A Hypocrite, Flatterer and dame Fool at Work.
 
Hapo pa kutaifisha mali zao ndo penyewe ukitaifisha kwa vigogo wa 5 hivi akili itaka sawa kwa wengine kinyume na hapo ujui amna kitu
Kweli mkuu kinyume na hapo itakuwa ni sawa na kumpigia ngoma chura acheze.
 
Hapo unazungumzia katiba mpya!
 
V
Vyovyote vile ila 70% Magufuli aliendesha nchi kama Raisi
Rais anayeongoza kuiba mali ya nchi na kuua? Rais anayekandamiza katiba na kubana democracy? Hapana yule alikuwa kichaa na waliomuweka walikosea. Ila Mungu akaenda kwenye mode ya factory reset pale 17/ 03/ 21
 
Rais anayeongoza kuiba mali ya nchi na kuua? Rais anayekandamiza katiba na kubana democracy? Hapana yule alikuwa kichaa na waliomuweka walikosea. Ila Mungu akaenda kwenye mode ya factory reset pale 17/ 03/ 21
Wewe ongea utakavyo, effectiveness ya raisi inaonekana kwenye ubora social services, infrastructures, uwajibikaji na uchumi wa wananchi at large. Kingine nchi yetu sio ya kibepari bali ni ya kijamaa na mfumo wa uendeshaji wa Magufuli ulikuwa of that type. Thus why waliolazimisha kuishi kibepari waliumia.
 
Dah! Umejibu vizuri Sana sijui nani kawadanganya CCM pekee ndio tatizo
 
Miradi Mingi kipindi chake ulienda kwa kasi tofauti na awamu zingine za Uraisi ni kwasababu ya usimamizi wake mzuri.
 
Yes ni kweli ila kabla hajachukuliwa hatua ni lazima kwanza ithibitishwe kwa ushahidi usiotia shaka ndipo hatua zichukuliwe!.
Hajashindwa na hashindwi, bali enzi za mabavu na kuwachukulia hatua watu kwa tuhuma tuu, zimepita!, sasa tuko kwenye enzi za uthibitisho na ushahidi usiotia shaka!
Hata wale aliosema kwamba kila report zinapofika watu hao hao hukutwa na tuhuma zile zile ilitakiwa wakamtwe kwa tuhuma ile ile ya kwanza na kubanwa vizuri walipozipeleka fedha zetu, badala ya kutaka eti washushwe vyeo au kuhamishwa ofisi.
Hatukamati watu kwa tuhuma tuu, sasa ni mpaka uthibitisho!.
Hizo nchi zote mbili ni udikiteta!, sisi huko tumeisha vuka tuko kwenye utawala wa sheria.
Hebu tumia nguvu zako ulizopewa na katiba yetu kuwachukulia hatua wabadhilifu wa kodi zetu,
Kwa mujibu wa sheria
kabla na sisi hatujaingia barabarani kama wakenya.
Wakenya ni Wakenya na sisi Watanzania ni Watanzania!, Watanzania tuko kama Watanzania, hatuko kama Wakenya, sisi ni watu wapole , wastaarabu, watulivu, wapenda Armani na utulivu!
Ukicheka na nyani shambani usishangae kuvuna mabua.
Pole sana, na wala usisikitike, huu ndio utawala wa sheria unavyotaka na unavyo fanya, na ni kuyavuna mabua, tumeisha yavuna sana!, msitake kuturudisha kule!.

P
 
Huo ndiyo ujinga wa kutegemea mfumo wa mtu binafsi ndiyo uendeshe nchi badala ya mihimili ya nchi iliyojengwa kwenye Katiba bora.

Bado Samia ni kiongozi bora kwa vile CAG amesoma ripoti kwa uhuru bila kuogopa. Magufuli alimfukuza Prof Assad kwa kuonyesha upotevu wa Tsh 1.5 Trillion. Lakini nyie devil worshippers bado akili zenu zimeshikwa na Dikteta tuliyemfukia Chato
 
Raisi ambaye anaangalia wezi wanaiba ndio raisi ambaye wapuuzi mnamtaka.
 
Na kuvuna mabua ndio kunakofanyika kwa sasa !! Nchi hii ukiwaambia mimi sikuzowea kufukuzana fukuzana na kufokeana fokeana hapo ujue umewawashia taa ya kijani mijizi ya pesa za umma !!
 
Acha kuleta porojo. Yaaani unataka ushahidi gani hata kama kuna premafacie evidence?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…