Yes ni kweli ila kabla hajachukuliwa hatua ni lazima kwanza ithibitishwe kwa ushahidi usiotia shaka ndipo hatua zichukuliwe!.
Hajashindwa na hashindwi, bali enzi za mabavu na kuwachukulia hatua watu kwa tuhuma tuu, zimepita!, sasa tuko kwenye enzi za uthibitisho na ushahidi usiotia shaka!
Hatukamati watu kwa tuhuma tuu, sasa ni mpaka uthibitisho!.
Hizo nchi zote mbili ni udikiteta!, sisi huko tumeisha vuka tuko kwenye utawala wa sheria.
Kwa mujibu wa sheria
Wakenya ni Wakenya na sisi Watanzania ni Watanzania!, Watanzania tuko kama Watanzania, hatuko kama Wakenya, sisi ni watu wapole , wastaarabu, watulivu, wapenda Armani na utulivu!
Pole sana, na wala usisikitike, huu ndio utawala wa sheria unavyotaka na unavyo fanya, na ni kuyavuna mabua, tumeisha yavuna sana!, msitake kuturudisha kule!.
P