Hata katiba idondoke kutoka mbinguni kama ccm wakigoma kuachia madaraka hakuna chama cha upinzani kitachukua nchi
..Ccm waachwe wang'ang'anie madarakani lakini wasiwanyime Watz mambo mengi mazuri yatakayopatikana kutokana na Katiba Mpya na Bora. Masuala ya chama kipi kitatawala ni component ndogo sana ktk Katiba nzima.