Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Ndiyo msemaji bwan mdogo Msigwa atatolea ufafanuzi kwa kubase kwenye angle hii ya “usalama wa rais”Inawezekana mama alimnywesha kama sumu basi wadondoke wote [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo msemaji bwan mdogo Msigwa atatolea ufafanuzi kwa kubase kwenye angle hii ya “usalama wa rais”Inawezekana mama alimnywesha kama sumu basi wadondoke wote [emoji16]
Mama alimnywesha juisi ila rais wa Msumbiji alikuwa na Champaign ambayo ni kilevi ndo maana hakumnywesha. Kila baada ya hotuba ya Dhifa na tumeona mara nyingi lazima wageni waalikwa wanyweshane kinywaji kwa afya. Tusilete maneno ya kiuchonganishi na kujifanya hamjatembea wala kwenda kwenye dhifa zozote. Kama hamjafanya vyovyote hivyo bora mnyamaze.Hapo ni kama taifa lina... danga vile...
Raisi wa msumbiji kajishitukia kabisaa, mke wa mtu unafanyaje haya!!? 🙄
Kwani Tanzania ni Islamic state 🙄Salaam
Kitendo cha Kumnyeshwa Mwanaume Juice kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Kumbe naye anashitua vant🤣Mama akishapiga Vant huwa hana control
Hapa katukanywajeHii sasa imevuka mipaka tafadhali naomba tuache tabia ya kumtukana na kumchafua Mh. Rais SSH
Kweli mjanja Sana madam presidentMama master, kakataa kinywaji cha nyusi kijanjanja na kimedani, nimemuelewa mama
Kumbe mzee Hafidh kayataka mwenyewe! hayo ndio malipo ya ndoa za mitaala basi acha Samia ajinafasi kimataifa 😍Wacha mama afurahi na watu wenye vibe...huyo baba hafidh yuko bize na wake zake wengine uko zenji
Tanzania (around 71%) ni Waislamu.
Salaam
Kitendo cha Kumnyeshwa Mwanaume Juice kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.