Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Hapo ni kama taifa lina... danga vile...

Raisi wa msumbiji kajishitukia kabisaa, mke wa mtu unafanyaje haya!!? 🙄
Mama alimnywesha juisi ila rais wa Msumbiji alikuwa na Champaign ambayo ni kilevi ndo maana hakumnywesha. Kila baada ya hotuba ya Dhifa na tumeona mara nyingi lazima wageni waalikwa wanyweshane kinywaji kwa afya. Tusilete maneno ya kiuchonganishi na kujifanya hamjatembea wala kwenda kwenye dhifa zozote. Kama hamjafanya vyovyote hivyo bora mnyamaze.
Mbona mmeona watu wanacheza miziki humu mbona hilo hamlisemi. Mpende msimpende Samia yupo na atakuwepo mpaka atakapong'atuka muda wake ukifika.
 
Salaam

Kitendo cha Kumnyeshwa Mwanaume Juice kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Kwani Tanzania ni Islamic state 🙄
 
Kweli watu mmeishiwa hoja za kujadiri hapa, kwanza mjuwe mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kaonyesha yeye Ni Zaid ya Rais, kaonyesha yeye Ni komandoo na jasusi aliyekamilika, Kaonyesha yeye Ni TISS iliiyoiva kisawasawa, Ndio maana hapo unaona kamnywesha huyo mwenyeji wake lakini yeye kamkwepa kikomandoo, Hapo kawapiga chenga ya kijasusi kubwa Sana, Kawapiga mueleka wa kikomandoo na kuwaacha wakiwa chini

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wakugusa maisha ya watanzania wanyonge
 
Tuwe wavumilivu kwenye mambo ya mila na desturi. Uhafidhina ni tatizo kubwa.
Salaam

Kitendo cha Kumnyeshwa Mwanaume Juice kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom