Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Kwa kweli mama lugha ya malkia ilimuacha mbali sana. Kwa hali hii ni vema akawa anafanya mahojiano ya kiswahili tu na hata akihojowa na mtu wa nje atafute mkalimani aweze kuelezea hoja zake!

Alitumia lugha ya kijerumani kutetea phd yake
 
Huyu mama ni kichwa, kijiografia akiwakilisha vema magharibi mwa Tanzania, lakini apewe wizara nyingine, sio ya Elimu, hasa hii mpya inayotoka wizara ya AFYA atafanya vizuri tu. Hiyo ya Elimu mpeni Dr mmoja hivi au Professor kutoka ndani ya baraza au bungen mradi asiwe Dr wa aina ya Msukuma. Ni mama mstaarabu asiye na makuu. Pole mama. Elimu zetu za awali au mazingira mara nyingine zinatuletea yatokanayo na sio kosa letu.
Mpeni break mama mkwe wangu jamani.
 
Kusoma advanced math siyo sababu ya kuongea broken English. Kuelewa math kunahitaji English proficiency pia.
Kama ni hivyo combination za Masomo ya Art wangelikuwa wenye uelewa mkubwa katika Hisabati (form 3-4).
Kufahamu Kiingereza ni tabia /mazoea ya kuongea /kusoma /kuandika /kusikiliza n. k
Hivyo yatupasa wale wenye weledi mbalimbali kuendelea kujifunza na kufundisha wengine ili kupata vitu vipya na kuepuka kuonekana hatujui chochote wala kutaka kujua chochote kwa wenye uelewa mdogo wanaojua Kiingereza kwa ufasaha.
 
Hawa ndio wanadhalilisha mtu Kuwa na Ph.D; kwasababu hawaendani na heshima ya kisomo cha kiwango hicho!!! Hii ndio hasara ya kusoma degree ya kwanza mpaka kutunukiwa Ph.D Chuo kimoja[ UDSM}!!!! Wengi wa namna hii wanapata taabu sana kwa kukosa exposure!!!
Huyu amesoma Canadá Mkuu master na phd,sema ndio hivyo
 
View attachment 2046608

Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Hata kama ana kigugumizi lakini hii flow yake ni kama QT student. Wale wakiokosa fursa ya elimu sasa wanajiendeleza kwa Rasi simba.
 
The man was very bright . ...there's a fluency
Ona hapa Hayati Magufuli enzi za uhai wake nae alikua ni miongoni mwa PHd zilizokua mahututi mbele ya english....

Sikiliza utumbo huu:

"We have approximately thirty ferries and the one which is working is more than twenty nine..." hesabu hiyo umeielewa?

Angalia kuanzia dakika 1:20 link

Man was
 
Ni hali ya kawaida. Humtokea yeyote. KNY: Kitengo cha Mawasiliano
 
Hivi nchi hii nani katuloga na hizi mindset za kijinga kiasi hiki? Kuwa kingereza kizuri ndo kipimo Cha elimu bora ni kweli??!

Hivi mtu aliyesoma English hapo kwa Ras Simba utamweka kwenye level moja na Ndalichako in terms of intellectual content hata Kama anatiririka English vizuri kuliko Ndalichako?! Mfano Harmonize umlinganishe na Ndalichako.

Mnatakiwa muelewe kitu kimoja kuwa Elimu ni kiwango cha maarifa alichonacho mtu kichwani na siyo uwezo wa kumudu Lugha fulani kwa ufasaha. Lugha inatusaidia kuwasiliana tu, na kiwango cha English ya Ndalichako kinamtosha kabisa kuweza kutumia maarifa yake katika kazi zake.

Hivi hushangai huyo unayemsema amekuwa katibu mtendaji wa baraza la mitihani kwa muda mrefu tu, bila shaka hata cheti chako kina sahihi yake, amefundisha Udsm kwa miaka kadhaa, unafikiri katika kutekeleza majukumu hayo hakutumia English?!!

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo alifundisha wanachuo kwa kiswahili na kutekeleza majukumu kwa kingereza ndiyo maana tuna wasomi wa ajabuajabu.
 
Hata kama ana kigugumizi lakini hii flow yake ni kama QT student. Wale wakiokosa fursa ya elimu sasa wanajiendeleza kwa Rasi simba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
U Profesa hauhusiani na thesis. U Profesa ni ualimu na kuna nchi zinaangalia Mambo uliyofanikisha ndio wanakupa u Profesa hata kama hauna Master's au Ph.D. Thesis inahusiana na Masters na Ph.D. Mtu kama Bill Gates akiamua kufundisha atapewa u Profesa hata kama hana Ph.D.

Amandla...
Kuna Nchi. So mi nazungumzia nchi au Nazungumzia Tanzani? Mkuu vipi?

Mi naongelea mazingira yetu apa Tanzania. Thesis sinilazima adefend infront of panelists?
 
Back
Top Bottom