Kimpyempye
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 723
- 1,157
Maprofesa wenyewe ndiyo hawa sampuli ya yuleMichongo
πππππndiyo wasomi na viongozi wetu hao MkuuAchana na huyo, kuna yule Mula Mula mpana leo sijaelewa ali present nn kwenye bunge kipindi kile cha bajeti.
Phd za chili ana?View attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We nae profesa anaanzaje kuambatana na translator? Unataka waanze kuhoji u profesa wake?
Kusoma advanced math siyo sababu ya kuongea broken English. Kuelewa math kunahitaji English proficiency pia.Kiko sawa kabisa alisomea Mathematics na sio Linguistic.
Hiyo ni Mathematics English grammatical.
Kwa kweli mama lugha ya malkia ilimuacha mbali sana. Kwa hali hii ni vema akawa anafanya mahojiano ya kiswahili tu na hata akihojowa na mtu wa nje atafute mkalimani aweze kuelezea hoja zake!
Mpeni break mama mkwe wangu jamani.Huyu mama ni kichwa, kijiografia akiwakilisha vema magharibi mwa Tanzania, lakini apewe wizara nyingine, sio ya Elimu, hasa hii mpya inayotoka wizara ya AFYA atafanya vizuri tu. Hiyo ya Elimu mpeni Dr mmoja hivi au Professor kutoka ndani ya baraza au bungen mradi asiwe Dr wa aina ya Msukuma. Ni mama mstaarabu asiye na makuu. Pole mama. Elimu zetu za awali au mazingira mara nyingine zinatuletea yatokanayo na sio kosa letu.
Kama ni hivyo combination za Masomo ya Art wangelikuwa wenye uelewa mkubwa katika Hisabati (form 3-4).Kusoma advanced math siyo sababu ya kuongea broken English. Kuelewa math kunahitaji English proficiency pia.
Huyu amesoma CanadΓ‘ Mkuu master na phd,sema ndio hivyoHawa ndio wanadhalilisha mtu Kuwa na Ph.D; kwasababu hawaendani na heshima ya kisomo cha kiwango hicho!!! Hii ndio hasara ya kusoma degree ya kwanza mpaka kutunukiwa Ph.D Chuo kimoja[ UDSM}!!!! Wengi wa namna hii wanapata taabu sana kwa kukosa exposure!!!
Hiki kinaitwa kingereza cha UgokoView attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Hata kama ana kigugumizi lakini hii flow yake ni kama QT student. Wale wakiokosa fursa ya elimu sasa wanajiendeleza kwa Rasi simba.View attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Hata kama ana kigugumizi lakini hii flow yake ni kama QT student. Wale wakiokosa fursa ya elimu sasa wanajiendeleza kwa Rasi simba.
π π π πAisee!!!ucfananishe QT na ujinga huo
Man wasOna hapa Hayati Magufuli enzi za uhai wake nae alikua ni miongoni mwa PHd zilizokua mahututi mbele ya english....
Sikiliza utumbo huu:
"We have approximately thirty ferries and the one which is working is more than twenty nine..." hesabu hiyo umeielewa?
Angalia kuanzia dakika 1:20 link
Kwa hiyo alifundisha wanachuo kwa kiswahili na kutekeleza majukumu kwa kingereza ndiyo maana tuna wasomi wa ajabuajabu.Hivi nchi hii nani katuloga na hizi mindset za kijinga kiasi hiki? Kuwa kingereza kizuri ndo kipimo Cha elimu bora ni kweli??!
Hivi mtu aliyesoma English hapo kwa Ras Simba utamweka kwenye level moja na Ndalichako in terms of intellectual content hata Kama anatiririka English vizuri kuliko Ndalichako?! Mfano Harmonize umlinganishe na Ndalichako.
Mnatakiwa muelewe kitu kimoja kuwa Elimu ni kiwango cha maarifa alichonacho mtu kichwani na siyo uwezo wa kumudu Lugha fulani kwa ufasaha. Lugha inatusaidia kuwasiliana tu, na kiwango cha English ya Ndalichako kinamtosha kabisa kuweza kutumia maarifa yake katika kazi zake.
Hivi hushangai huyo unayemsema amekuwa katibu mtendaji wa baraza la mitihani kwa muda mrefu tu, bila shaka hata cheti chako kina sahihi yake, amefundisha Udsm kwa miaka kadhaa, unafikiri katika kutekeleza majukumu hayo hakutumia English?!!
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata kama ana kigugumizi lakini hii flow yake ni kama QT student. Wale wakiokosa fursa ya elimu sasa wanajiendeleza kwa Rasi simba.
Nyie ndio mnataka kutuharibia Kiswahili chetu kwa kulazimisha kuyaingiza maneno ya mkoloni mwarabu kwenye kiswahili chetu. ADHIM ndio kitu gani?Kwani Ange ongea lugha ADHIM ingekuwaje?
Hawa labda tu hawataki kujionesha, wako humble. Flow ya English yao si ya sayari hii.Mulamula na Ndalichako wakihutubia ukafanikiwa kuwaelewa ujue unaakili sana
Kuna Nchi. So mi nazungumzia nchi au Nazungumzia Tanzani? Mkuu vipi?U Profesa hauhusiani na thesis. U Profesa ni ualimu na kuna nchi zinaangalia Mambo uliyofanikisha ndio wanakupa u Profesa hata kama hauna Master's au Ph.D. Thesis inahusiana na Masters na Ph.D. Mtu kama Bill Gates akiamua kufundisha atapewa u Profesa hata kama hana Ph.D.
Amandla...