Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Lakini yeye ni waziri wa elimu ujue.Nimesikia tu kwamba, "You're going to stay inside until you give instructions to your people to............." She speaks English with strong vernacular accent.
I think the reason that English is her third language has a bearing on the way she can express herself in that language and this is a challenge facing majority of Tanzanians and hers is just a tip of an iceberg.
Math gani unayoongelea wewe? Una uhakika ana PhD ya Maths? Hiyo PhD aliiandika na kuisoma kwa kisukuma?PhD yake sio ya English.
Ni ya Maths
Kweli kabisa kaka upo sahihi.... Lugha ina skills nne speaking, reading, writing na listening sasa mtu anaweza kuwa mahiri kwenye reading speaking akawa slowHapa naweza nikawa nabishana na ngumbaru aisee ungekuwa umesoma linguistic ungenielewa vizuri kabisa au kama ulibahatika kufika chuo na ukasoma communication skills basi unatakuwa unajua kwamba unaweza ukawa muandishi mzuri kwenye lugha fulani lakini ukawa si mzungumzaji mahiri wa lugha hiyo, language skills inamambo mengi sana kijana nenda shule kwanza.
Kumbuka unaongelea profesa mwenye PhD lakini pia ni waziri wa elimu.Kweli kabisa kaka upo sahihi.... Lugha ina skills nne speaking, reading, writing na listening sasa mtu anaweza kuwa mahiri kwenye reading speaking akawa slow
Nimetoka Malawi nikakuta vitoto vinaongea kiingereza.Math gani unayoongelea wewe? Una uhakika ana PhD ya Maths? Hiyo PhD aliiandika na kuisoma kwa kisukuma?
Important keyword...Nimetoka Malawi nikakuta vitoto vinaongea kiingereza.
...Nadhani vyote vina PhD
Hujanielewa.!Lakini yeye ni waziri wa elimu ujue.
Hahaha….kweli lakini, sasa matokeo yake ni kama haya..Kaisiliba kinyesi wizara ni heri angeongea tu Kiswahili lakini sio kwa broken zile na zile eeh.. Eeh, eeh zilizokaribia 60
Kujua au kutojua kingereza sio kusoma au kutosoma kama.kujua.kingereza ndio kusoma basi wazungu wote wangekuwa maprofessor msifanye utani na elimuHahaha….kweli lakini, sasa matokeo yake ni kama haya..
View attachment 2060718
Mmemsagia kunguni mpaka muha wa kike kapigwa chini!!View attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?
Bonus 🤣🤣
Daaah. huyu binti kwa nini alipata shida zote hizo wakati Omondi anakijua kiswahili. si angeandika kiswahili tuHahaha….kweli lakini, sasa matokeo yake ni kama haya..
View attachment 2060718
🤣🤣🤣🤣 uzed to dai in ze in ze rek.Ona hapa Hayati Magufuli enzi za uhai wake nae alikua ni miongoni mwa PHd zilizokua mahututi mbele ya english....
Sikiliza utumbo huu:
"We have approximately thirty ferries and the one which is working is more than twenty nine..." hesabu hiyo umeielewa?
Angalia kuanzia dakika 1:20 link
Tena vizuri tu , yalealiosema Furaha ndio hayo.Anaeleweka vizuri tu
Asante sana, kama muelewa atachutama.Nimetoka Malawi nikakuta vitoto vinaongea kiingereza.
...Nadhani vyote vina PhD
Unalako jambo si bureMimi nikiri kabisa kuwa hakuna waziri ninaemchukia kama huyu mama. Sina chuki personal ila nauchukia mfumo wa elimu Tanzania na naona kabisa kikwazo cha kwanza ni huyu waziri.
Yani huyu ni zero brain kabisa ilifaa awe anavua migebuka ziwani huko.