Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Lakini yeye ni waziri wa elimu ujue.
 
Kweli kabisa kaka upo sahihi.... Lugha ina skills nne speaking, reading, writing na listening sasa mtu anaweza kuwa mahiri kwenye reading speaking akawa slow
 
Kweli kabisa kaka upo sahihi.... Lugha ina skills nne speaking, reading, writing na listening sasa mtu anaweza kuwa mahiri kwenye reading speaking akawa slow
Kumbuka unaongelea profesa mwenye PhD lakini pia ni waziri wa elimu.
 
"I will put u in the cell"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mmemsagia kunguni mpaka muha wa kike kapigwa chini!!
Binadamu siyo watu.
 
🤣🤣🤣🤣 uzed to dai in ze in ze rek.
 
Mimi nikiri kabisa kuwa hakuna waziri ninaemchukia kama huyu mama. Sina chuki personal ila nauchukia mfumo wa elimu Tanzania na naona kabisa kikwazo cha kwanza ni huyu waziri.

Yani huyu ni zero brain kabisa ilifaa awe anavua migebuka ziwani huko.
Unalako jambo si bure
 
Wenye kingereza chao wanawashangaa mnavyopapațkia lugha yao, pendeni chakwenu, kwani làzima kujua kiingereza ndio upate phd, ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…