Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

ni kawaida tu mbona !! mbona wazungu wanao jifunza kiswahil huwa wanaongea swahili mbaya mbaya ....
 
Thesis yake aliandika kwa lugha gani? KIRUNDI?
Ukisoma ukaelewa wala huto kuja na hoja kama hii,kasome linguistic uelewe ninacho maanisha, hata kama thesis aliandika kwa kingereza hiyo haimaanishi atakuwa na ustad wa kuongea kingereza labda kama alisoma lugha ya kingereza.
 
ni kawaida tu mbona !! mbona wazungu wanao jifunza kiswahil huwa wanaongea swahili mbaya mbaya ....
Na huo ndio ujinga wa waafrica wengi, mzungu akiongea kiswahili kichafu anapongezwa lakini mswahili akiongea kingereza kichafu anazomewa .
 
Mbona Wapo wengi tu wa hivyo
Yaani watupuuuu
Halafu tunaambiwa hawa ndio wamesoma
Elimu dunia
Midomo mizito kama jabali🤣🤣😂
 
View attachment 2046608
Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake?

Bonus [emoji1787][emoji1787]
Absolutely... huyu mama ni majanga sana kwenye wizara nyeti kama elimu

Then kuwa professor aina maana kwamba.... upo vizuri kichwani
 
Na huo ndio ujinga wa waafrica wengi, mzungu akiongea kiswahili kichafu anapongezwa lakini mswahili akiongea kingereza kichafu anazomewa .
Hacha kujichanganya akuna mzungu alisoma kiswahili nakufanyia research...
Mtu akishindwa kingereza basi ni ushaidi tosha kwamba uwezo wake wa mambo ni mdogo sana unawezaje kufanya research, na phD then ushindwe kuzungumza hicho kilugha...shy
 
Anachokisema ukimskliza kina mantiki na ameongea kingereza sahihi, sema lafudhi ndio tofauti na hiyo ni kawaida.
 
Anachokisema ukimskliza kina mantiki na ameongea kingereza sahihi, sema lafudhi ndio tofauti na hiyo ni kawaida.
usimtetee, huyu ni Phd holder aliyesoma ughaibuni. how comes anashindwa kuzungumza kingereza kwa ufasaha.

something isn't OK for her. nina mashaka na elimu yake. halafu mimi hizi Phd za wanasiasa huwa siziamini, nyingi ni za mchongo. sijui huko kwenu kenya hali ipoje?...tupe tathimini.
 
usimtetee, huyu ni Phd holder aliyesoma ughaibuni. how comes anashindwa kuzungumza kingereza kwa ufasaha.

something isn't OK for her. nina mashaka na elimu yake. halafu mimi hizi Phd za wanasiasa huwa siziamini, nyingi ni za mchongo. sijui huko kwenu kenya hali ipoje?...tupe tathimini.

Mnashindwa kutofautisha lafudhi na ufasaha wa lugha, mtu yeyote ambaye hajaishi Uingereza au Marekani akiongea Kingereza lazima lafudhi imsumbue hata kama anakiongea kwa ufasaha. Kwa mfano kwetu huku, baadhi ya watu kwa jamii ya Wajaluo huwa wako vizuri sana Kingereza, lakini ukiwaskliza wanavyotamka maneno kwa lafudhi zao utacheka sana, japo anatirirka vizuri kwa kuzingatia ufasaha.

Huyu mama nimemskliza vizuri kwenye hiyo video, anajieleza vizuri tu, tena anatumia complex terminologies na kuziunganisha ipasavyo, sema lafudhi sijui ya Kisukuma au wapi inamfanya ulimi kuwa mzito.
Lafudhi humfanya mtu kutamka neno "man" kuwa "mani"
 
Wakoloni walitutawala wakiwa hawajui kiswahili na sisi tukiwa hatujui kingereza na waliweza .

Sasa wewe malaya unaona kiingereza ndiyo mali adimu kwako na kitu cha thamani sana eti?

Wanajua kiingereza wote wamefanikiwa?china,kirea,jermani,rwanda,n.k wanaongea kiingereza?

Mbwa wewe
 
Back
Top Bottom