Mkuu, Kwani hiyo ndege waliivuta Kwa masaa mangapi? Nadhani Kwa ushauri wako huu, idadi ya vifo ingeongezeka zaidiSafi sana,hongera zake
Lakini ukiangalia upande wa pili kama sio haraka zake inawezekana hyo ndege ingevutwa mpaka kwenye kina kifupi na ndo mlango ungefunguliwa wangeweza kutoka watu wengi zaidi,labda hata vifo visingekuwepo,maana baada ya kufunguo huo mlango maji yalianza kuingia ndani ya ndege
Kauli ya Rais ni Amri.Anaweza pigwa zengwe akaishia kusajiliwa tu.
Sasa hapa anataka kutuonyesha kwamba anajari sana au??sie tunataka majibu kwa nini watu wafe kizembe vile,idara za uokoaji na jwtz walikuwa wapi?,inawezekana vipi,hata jwatz hawana vifaa vya kuokoa watu kwenye ajari ndogo kama hii?Ni agizo kutoka kwa Rais Samia
Amiri Jeshi Mkuu ameagiza Waziri wa mambo ya Ndani mh Masauni kuanza mchakato wa ajirar ya huyo kijana mara moja
Kijana huyu ndio alizamia na kwenda kufungua mlango wa ndege na hatimaye abiria 24 wa Precision Air iliyozama kuokolewa
Source TBC
======
Waziri mkuu akiwa kwenye shughuli ya kuaga miili ya kuaga marehemu waliopata ajali kwenye ndege ya precision amesema Rais Samia ametoa agizo kijana aliyewanusuru watu waliokwama kwenye ndege hiyo atafutiwe nafasi kwenye Jeshi la uokozi.
Pia Serikali kugharamia mazishi ya wote waliofariki kwenye ajali hiyo.
Hilo ni auto programmed robot, usipate shida nalo, hizo ni maiti za Lumumba.Ushindi kivipi? Kulikuwa na mashindano?
Ni laana kwa Taifa kuwa na kiumbe hai kama wewe.
Mbona hii ipo airwing Dar?Sasa hapa anataka kutuonyesha kwamba anajari sana au??sie tunataka majibu kwa nini watu wafe kizembe vile,idara za uokoaji na jwtz walikuwa wapi?,inawezekana vipi,hata jwatz hawana vifaa vya kuokoa watu kwenye ajari ndogo kama hii?
Hii nchi haipo salama kabisa,unaweza ukaivsmia na kuipiga vibaya,taasisi za ulinzi zipo bize kulinda wasenge wa ccm
Wabongo tayari akiri zetu finyu sana yani ndio tulishapozwa hapo 🤣🤣🤣🤣🤣Lakini hujachukizwa na uzembe wa serikali kusababisha vifo?
Huna jema kwakoChifu wa mchongo anapenda sana kutafuta kiki
Kisa nini?Asipotumbua mtu maana wenyewe wamegoma kuwajibika nae atakuwa hana utofauti na wenye kuwajibika
Ilidondoka 100m kutoka kwenye runway.. ofisi za Jeshi la uokoaji zipo 200m kutoka ndege ilipodondoka...Nyie watu wajinga mno, taarifa zilichelewa kufika kwa serikali, au ulitaka waote? Wavuvi ndio walikua karibu na ndio maana walikua wa kwanza kusaidia
Anasema yeye kaokoa watu 23, shujaa kwa maana halisi.Vic at least sasa majibu ya maswali ya jana yanaanza kupatikana ikiwepo swali la ni vipi wale watu 26 walitoka ndani ya ndege
Mlango ulifinguliwa ila ilihitajika mtu wa kupush nje maana walioko ndani hawakuwa sawia kuupush kwa nje.Kumbe hiyo milango ya dharura ufunguliwa kwa nje pia! Sikuwahi kuona kwenye demonstration! Aliufunguaje?
Unafikiri anapenda kuwa mvuvi ?Kumtumikia tajiri ? Bora akaajiriwe huko serikalini nae kwa pesa aliyopewa anaweza pia kununua mitumbwi na kuajiri wavuvi. Au kufanya mwenyewe siku zake za off kazini.Kuna uwezekano wa kwenda kuua kabisa uwezo wake! Hao wenye mafunzo na uzoefu hawajatokea, unafikiri nini kitampata huyo jamaa. Ni bora aendelee na uvuvi.
Nyie hamjui labda.sisi tunaozamia kwwnye maji tunaelewa sacrifice aliyotoa kijana.kwanza aliwez kutunza hewa na kuiingia deep pale almost 15mt na acha kabisa kama huelew mambo ya maji msiongeeWabongo tayari akiri zetu finyu sana yani ndio tulishapozwa hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata bila kufungua mlango maji yalishaanza kuingia kwa chini. Mpaka ivutwe si wangekufa wote jamani.Safi sana,hongera zake
Lakini ukiangalia upande wa pili kama sio haraka zake inawezekana hyo ndege ingevutwa mpaka kwenye kina kifupi na ndo mlango ungefunguliwa wangeweza kutoka watu wengi zaidi,labda hata vifo visingekuwepo,maana baada ya kufunguo huo mlango maji yalianza kuingia ndani ya ndege
Uchawi upoSifa pekee haziweki ugali mezani.
Hayo maisha ya mshahara hajayazoea.
Keshazoea kujikimu kwa kufanya uvuvi.
Wangemboreshea hali waliyomkuta nayo.
Huko wanakompeleka anakwenda kuanza moja.
Hamna aliyebisha ujasiri wake.Nyie hamjui labda.sisi tunaozamia kwwnye maji tunaelewa sacrifice aliyotoa kijana.kwanza aliwez kutunza hewa na kuiingia deep pale almost 15mt na acha kabisa kama huelew mambo ya maji msiongee